Hivi tunavyojifanya tumeumia kwa kufungwa leo naomba nguvu zetu za kinyonge tusije tukazimalizia kwa man city!!
Manchester city must win ifikapo jumatano
Ahahahahaha Mama weee mbavu zangu, ukoko wa pilau na Ukoko wa biliani Upi unauafadhali !???? Ahahahaha nimecheka kwanguvu alafu kiboya mpaka mtu mzima nlokuwa karibu naye akasema Masmartfon hayo yanawapa uchizi!!!!!
Oooh wachezaji ni wale wale sasa hivi mbona tunashinda Mourinho alikuwa sio kocha Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Muda wa ku mprove wrong Mourinho umeisha MAISHA YANAENDELEA SASA.