Wakishaitengeneza timu alafu iwaje? Wacha timu ibaki kama ilivyo ili wapiganiaji wa taji wabaki wawili alafu wazee wa kitafuta top 4 waendelee kuminyana hukoBring eriksen jamaa anajua sana.
Pogba hamna kitu.
Fumua timu nzima.
Ata mkitumia misimu mi3 kuijenga upya timu.
Ila kwa hii ni kuaibisha jiji
Hehehe!! Hatari sana haya mapenzi kweli yana nguvu kuliko breakdownHee nilisahau kumbe ushajivika ubarcelona baasi miwani yotee huoni majuto ya coutinho
Mkuu habari.Mpaka sasa Liverpool wamekosa nafasi kibao
Tofauti yao na yetu, ni kwamba wao wanatengeneza nafasi nyingi sana (midfielders wanafanya wajibu wao au mfumo wa uchezaji ni mzuri) na kutumia angalau chache lakini sisi hatutengenezi nafasi hata moja
Unaweza kuamini kwamba mechi ya leo, tumepata shot in target moja
The club is generate more money off the field Glazer have no guts to sack EdSafari Ed ajiandae kupigwa chini
Maana wachezaji wamebadilishwa, kocha amebadilishwa lakini hamna matokeo chanya
Kwa hiyo tatizo linaonekana ni kubwa zaidi
Ndio na hii ya kusema "charity start at home" other teams are doing better than us!! Why??Kwanini watu wanasema kuwa kununua wachezaji 11 ni ghali sana kwa united hii ambayo kila siku ed woodward anatuambia kuwa ni klabu tajiri zaidi duniani? Sio lazima kununua world class kwa bei ghali sana bali wachezaji wazuri kwa bei poa na tukawa na subira ya miaka 2 tukaanza kutamba ulaya kama kipindi cha fergie. Ukitaka wachezaji kutoka ligi 5 bora barani ulaya,lazima itakuwa ngumu ila ukiingia eredivisie pale unapata wachezaji wazuri na tunafanya vizuri sana kama tutaondoa uingereza ndani ya timu.
Na cha mwisho kabisa,tunaeza kununua timu kama ajax tukaibadilisha jina tukaiita united kama vijana wa soton waliyojazwa pale anfield.
Ulikuja kukesha huku. Sasa zamu yako. Nenda kaokoe jahazi inazamaKimepiga shuti moja kipind cha pili
Mpira huwa hauna adabuUlikuja kukesha huku. Sasa zamu yako. Nenda kaokoe jahazi inazama
Arsenal 1 vs Crystal Palace 3
dah yani ndo hivyo hatuna pa kutokea kabisa ..sisi Man United tupambane na europa tu msimu ujao bwahahhahahahaNext game city anawachabanga 5
Muvi lilianza na messi haha
Misiba miwili mkuudah yani ndo hivyo hatuna pa kutokea kabisa ..sisi Man United tupambane na europa tu msimu ujao bwahahhahahaha
dah yani ndo hivyo hatuna pa kutokea kabisa ..sisi Man United tupambane na europa tu msimu ujao bwahahhahahaha
Numbisa tuimbe .."Niuwe man u Niuwe x2/ Niuwe man u Niuwex2"Hili swali wanaweza jibu vizuri hawa wawili coutinho na courtois
Hahahaha hahaha AssAnal Naye kaliwaaaa hahahaha kweli Yesu kafufuka ...AROON yaani ndio mmeamua nanyi mpigwe kama hawa mamluki? View attachment 1077636
Hahahahaha ngoja tuende kule tukatoe pole na pongezi ..maana merehemu alikuwa mpole sanaa...Misiba miwili mkuu