Mmekuwa timu ya CHEAP OPTION sana mkuuNafahamu, Ed alifuata cheap option
Aliogopa kwenda kwa Poch maana alijua ili kumuondoa Spurs, inabidi ailipe Spurs hela ndefu
Kama kawaida ya Ed na Glazer, wanapenda cheap sana na cheap is expensive
Nishaanza kuona mzigo wa waingereza kwenye timu.√KIMSINGI wachezaji na kocha they are not good enough..
√Sioni tukiprogress
√Timu imejaza waingereza wengi wasioweza mpira..Hivi huyu bernard wa everton si anamzidi Lingard mchana kweupe??
√KIMSINGI tuna timu mbovu kuanzia juu kwenye uongozi mpaka kwenye benchi la ufundi..
√Next season tupo Europa so hao masharobaro wakitaka kusepa wasepe..i don't even care anymore
√Fu.cking disgusting
Ole akizembea kwenye usajili msimu ujao ataenda na maji.
Wachezaji wa kuwafukuza ni zaidi ya 10. Alete majembe ya kazi.
Mpaka sasa tulitakiwa tuwe na Sports Director ambaye ameshaanza usajili.
Beki ya sasa ni sifuri, tukiendelea nao msimu ujao hakuna kitu.
Morinho alitaka hela asajili majembe, Ed akamkatalia. Asipompa Ole hela ya kununua wachezaji, he should leave.
Ed should be sacked.
Ndicho alichosema Michael OwenMechi ya leo kocha kachangia asilimia ndogo kufungwa, wachezaji ndio chanzo. Hapo hakuna mwenye moyo wa kujituma wanawaza mpunga tu na utoto mwingi.
Tunahitaji squad nzima sahivi.Lindelof ndio our best CB this season ,Kama Woodward angekubali Jose asajili new defender sidhani kama Jones/Rojo bado wangekuwa bado wanachezea United
Tayari msimu huu tumeweka rekodi ya kufungwa magoli mengi kwenye EPL but Jose alimwambia Woodward timu inahitaji new defenders akamgomea
√KIMSINGI wachezaji na kocha they are not good enough..
√Sioni tukiprogress
√Timu imejaza waingereza wengi wasioweza mpira..Hivi huyu bernard wa everton si anamzidi Lingard mchana kweupe??
√KIMSINGI tuna timu mbovu kuanzia juu kwenye uongozi mpaka kwenye benchi la ufundi..
√Next season tupo Europa so hao masharobaro wakitaka kusepa wasepe..i don't even care anymore
√Fu.cking disgusting
Du sio kwa mitobo ile
Hapana huyu ni OLE SENDEKAduh aibu hii ndo yule yule ole aliyekuwa ameshinda mech 10 mfululizo
Uzuri unacho kichaka cha kujifichiaAiseee mmmh jamaniiii
Itahitaji misimu kama mitatu kuibadili hii United.Hilo ni tatizo kubwa kweli kweli team imekosa mipango na kibaya zaidi nadhani Ole anatupeleka kubaya sana.
Ole anamwabudu Pogba Hii ni hatari sana,afadhali Jose alikuwa guts za kumpiga bench huyu mshenzi wa viwango vyote.
D. Gill alikuwa anaangalia talent zaidi uwanjani kuliko mauzo ya jezi.Ed hajui kazi kama david gill. David gill alikuwa na watu wake wanaenda kutafuta wachezaji huko. Kawaleta akina christian.. akina nani.. na wachezaj wengine wazur.. toka aondoke man u haijawahi kupata mchezaj mwenye kipaji halisi. Wanasajili majina tu..
Uzuri unacho kichaka cha kujifichia
Man U hakuna maslahi?Ole wetu hana tatizo. Wachezaji wengi hapo wanawaza maslahi wakilala wanaiota Real Madrid,PSQ wakiamka wanajikuta bado wapo Man u wanakosa raha.
√Waingereza wazuri wapo wachache sana kama sterling..hawa akina Rashford,Lingard,Smalling,Jones,Young ni standard za hull city huko..Huu ogonjwa uliwatesa liverpool kwa muda mrefu. Wanakombatia waingereza halafu timu inazid kudidimia. Waingereza vipaji vya msimu. Ni wachache sana hudumu.
Angalia city angalia liverpool.. baada ya kupunguza waingereza kwenye team leo wako top. wana perform
Pole bhana Ile vumilia tu me nilishakwambia hii timu imeshawekwa makumbusho tayari imebaki kua timu ya kihistoria ila kutegemea eti itakupa ubingwa wa maana sahauIla moyoni naumiaa acha tu washavuruga sikukuu