Kuna tatizo kwa wachezaji na pia lipo tatizo kwa Manager hasa sub alizifanya hazikuzungatia performance ya kipindi cha kwanza.
Kipindi cha kwanza Pogba,Matic & Jones walikuwa passangers sijui kwanini Ole alishindwa kakimbilia kuwatoa wachezaji wengine kashindwa kuwatoa underperforming players.