Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu ndio ilikuwa ya kuifunga Barcelona?.....labda kuwafunga kamba za viatu😅
 
Mtajua na mtaelewa MOU alikuwa anamaanisha nini alipokuwa akisema man u hamna wachezaji wa maana
 
Watani mnatuangusha!
Bila champions league football mtakuwa na wakati mgumu sana kuaattract top talent during the summer
All in all, a club of Man U pedigree should not play FUTUHI
 
Hodi hodi humu...
VIVA
1077533

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Poleni sana...Zawadi ya Pasaka hii walahi...hahahahahahah....
 
Back
Top Bottom