OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
HahahahahahahahahahahahaaaaaaWenye mpira wa kuifunga Barcelona ni Manchester United si ndio mkuu
HahahahahahahahahahahahaaaaaaWenye mpira wa kuifunga Barcelona ni Manchester United si ndio mkuu
lichezaji livivu linalipwa paun 200k.....tukifanikiwa kusajili wahuni wapiga kazi atakimbia kilazima na kukaba kilazima
Pogba na Martial ni mabishoo sana, ni viburi pia.
Wakipatikana watu wa kazi hawa jamaa ni kupuga bei tu.
Pogba na de gea wanataka waongezewe mishahara 🤣🤣🤣 bora hata ya De gea
Ya kesho tunashinda ila ya jumatano hatutaki ushindiNyie jamaa Tottenham ndo kashapigwa EPL, mishinda kesho mtakuwa na points sawa sawa na yeye na michezo sawa.
Njia pekee ya ninyi kuingia Top 4 ni kushinda game ya kesho na ya Jumatano.
Nawakumbusha huku nikiwaombea ushindi kwa game zenu zilizobaki.
Ya kesho tunashinda ila ya jumatano hatutaki ushindi
Tunauza mechi kwa man shit 😂😂
Ni kama vile ninyi kesho mmeshashinda hahahaha if you what i meanNyie jamaa Tottenham ndo kashapigwa EPL, mishinda kesho mtakuwa na points sawa sawa na yeye na michezo sawa.
Njia pekee ya ninyi kuingia Top 4 ni kushinda game ya kesho na ya Jumatano.
Nawakumbusha huku nikiwaombea ushindi kwa game zenu zilizobaki.
Ni kama vile ninyi kesho mmeshashinda hahahaha if you what i mean
Hahaha kesho inabidi mpigwe ili sisi tushindeMimi niko na ninyi, hiyo kesho sisi tuachie wenyewe.
Shindeni mechi zenu zote.
joanah hivi unajua umuhimu wa ninyi kucheza UEFA?
Kama hamchezi UEFA hata wachezaji wazuri hawatakubali kusajiliwa hapo, na hao mlionao watatafuta pa kwenda.
Jitahidini aisee.
Hahahahahahaha, kwa maombi hayoNyie jamaa Tottenham ndo kashapigwa EPL, mishinda kesho mtakuwa na points sawa sawa na yeye na michezo sawa.
Njia pekee ya ninyi kuingia Top 4 ni kushinda game ya kesho na ya Jumatano.
Nawakumbusha huku nikiwaombea ushindi kwa game zenu zilizobaki.
Hahaha kesho inabidi mpigwe ili sisi tushinde
Sisi tukipigwa haimake any difference kwenu.
Kama mmechagua fungu la Futuhi ni juu yenu.
Bora tushiriki Europa tu kuliko nyie kuchukua ubingwa
Yani chuki niliyonayo kwa liver ni zaidi ya upendo wangu kwa united!
Hahahahahahaha, kwa maombi hayo
Mkuu kwa kweli unaipenda sana Liverpool
Duh, unaloliombea utalipata halafu baadae utakuwa unajilaumu.
Hii kazi tutawapa Leicester kama nyie mkishindwa.
Fanyeni fanyeni namna jamaa, au mnapenda hao "Noisy Neighbours" wanavyowapigia kelele za kushangilia ubingwa?
Don nasema ninyi mkipgwa sisi tutapata hamasa ya kushinda