Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Its 6 years now club are continue to make the same mistake while our competitor have identify & address their problem and moving foward while we are continue with the same cycle.Jose need new defender Woodward block it and sack him.
Jose was the oly one who protect Pogba when the world was against him and give him armband

I dont have problem with OGS but this job look too big for him
 
Jamani eeenhe,humu ndani mnadiscuss kuhusu nini muda huu..?
Maana naona uzi wenu unacheza cheza..!
Au mnaangalia marudio ya mechi yenu ya Jana..!?
Ahahaaaah, nawatania tu majirani..!
Majirani zetu leo mtuombee tumpasue Spurs,maana sisi ndio wawakilishi pekee tuliobaki kutoka jiji la Manchester..!
Au mnataka Liverpool akabebe UEFA..?
Nadhani hamtaki kitu cha namna hiyo kitokee,pia tukikutana kwenye EPL wiki ijayo mlegeze kidogo,maana mkikaza tu Liverpool anatembea na ndoo,nadhani hamtopenda kabisa jambo hili litokee pia..!
Sisi ni ndugu bhana,wote ni watoto wa Manchester..!
 
mmh! Hatujafikia undugu wa namna hiyo, japo ni kweli hatutaki Liverpool amebebe chochote.
 


Man city 4-3 Spurs...Spurs amepita
 
Pole jirani, bata ameng'ata
 
Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…