Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Aliyekuambia Kane anachezea man city ni nani? Jadon sacho pia?? Nimegundua wewe sio mfuatiliaji wa mpira...
 
Kivipi sasa hujui kwamba hio ndio timu peke imefika hatua hii bilaa kufungwa yan unbeaten jan walkuwa wana relax kwa sabb walkuwa n uhakika wa ushindiiii mzeee usitegeme game inayofwata watacheza km janaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United hamjui mpira, ile timu ni Hanna kitu, mnajua kelele tu lkn mpira hamjui mngejifanyia hata self assessment ni miaka mingapi mgululizo hamjachukua EPL...


Hivi kweli timu inategemea vikina rashford na Lingard ndo wachezaji tegemezi... Mna vi overate basi na nyie mnajiona mna wachezaji.

Manchester hamjui Moira kilichobaki ni kelele tu
 
Pogba sio saizi ya utatu mtakatifu wa Barca pale kati hadi dogo Arthur ni Bora kuliko pogba

Sent using Jamii Forums mobile app

Pogba ni bora kuliko Arthur pakubwa sana

Arthur anao uwezo wa kukaba na kuchezesha timu tu ila uwezo wa Arthur kwenye kufunga magoli na end product ni mdogo sana

Pogba anauwezo wa kuchezesha timu, kutengeneza magoli na kufunga magoli kwa ufanisi mkubwa
 
poleni sana man u, ilifikia kipindi nikawaonea huruma sana kwasababu barcelona ilikua inacheza na team inayoitwa manchester united ila yenye wachezaji wa cardif

poleni sana, sasa turuhusuni huu mfupa tumpe ndugu yenu liverpool.
 


Imewauma sana kupigwa mbili na mfalme, utafikiri ndio mara yake ya kwanza kuwabandua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanateseka sana masikini ya Mungu.
 
Pamoja sana mkuu hakika umenena ya msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…