Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
...kibelaaaaaaa.....yaani champions league mtolewe, na hii Intertoto cup pia mtolewe?.
msimu mmoja mnatolewa makombe mawili ya UEFA? ...hebu jikazeni bana....
Kibelaaa...mmefungwa na katimu kadogo tu Spain!Haitúumizi kichwa kutolewa kwenye kombe la mee kibela
Kwa kweli wameiabisha EPL, kwenda kutolewa na timu iliyo nafasi ya saba La Liga! Sijui ingekuwaje kama ingekuwa Barca au Madrid!!?Kibelaaa...mmefungwa na katimu kadogo tu Spain!
Imagine mngekutana na Barca ingekuwaje!
Tatizo la timu nyingi za Spain hazipo vizuri kifedha kama zilivyo za England. Wakiwezeshwa tu naamini wataliteka soccer la dunia!Kwa kweli wameiabisha EPL, kwenda kutolewa na timu iliyo nafasi ya saba La Liga! Sijui ingekuwaje kama ingekuwa Barca au Madrid!!?
Tatizo la timu nyingi za Spain hazipo vizuri kifedha kama zilivyo za England. Wakiwezeshwa tu naamini wataliteka soccer la dunia!
Amna kuchekana apa, epl wote tumeangukia pua (at least peasant aongee). Msimu wa nuxxxx huuuu!
enhee!hicho ndio nilichokuwa namaanisha!kwamba kama mimi kiboko yenu nimefungwa hivi maana yake nyinyi ninaowaongoza ndio utumbo kabisaaaa!
hilo ni kweli kabisa angalia wachezaji wao wanavyogoma daily migomo sasa hapo fergie atalia sana mpira hajui anasubiri bahati nasibu..
Dada Gea alipakatwa kinoma,defence hoi.
hongereni sana, naona mmepangiwa man city kwenye champions league.
Naona Di Matteo kakufufuahongereni sana, naona mmepangiwa man city kwenye champions league.
Vipi umeshasahau hiiTehetehe. Yaani hawajiwezi. Unapigwaje home and away hata hujitutumui? Dah
Vipi umeshasahau hii
OT: ManU 8 Arsenal 2
Emirates: Arsenal 1 Manu 2
On agregate
ManU 10 Arsenal 3
Vipi umeshasahau hii
OT: ManU 8 Arsenal 2
Emirates: Arsenal 1 Manu 2
On agregate
ManU 10 Arsenal 3
Ile 8-2 mlicheza na kikosi dhaifu tu. Na una bahati tumemalizana maana saivi tukikutana hutoki.
By the way, naomba nitoe taarifa mapema kwamba Wolves wanakuaribieni sherehe leo
Vipi umeshasahau hii
OT: ManU 8 Arsenal 2
Emirates: Arsenal 1 Manu 2
On agregate
ManU 10 Arsenal 3