Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilikua shabiki mkubwa sn wa Ole kutaman apewe team, lkn kwa jins anavomtreat lukaku ata sina hamu nae tena, lukaku anafanya kazi kubwa sn hata kuliko alipokuwepo mourinho, lkn haka kazee ole ata hakamthamini. Anakiacha kilingard kinakata tu mauno mle ndani anamtoa mchezaji nje. Ivi ole anatumiaga akili au matope???? Eti lukaku anawekwa bench na rashford na lingard, hichi nacho ni kichekesho kingine!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana lukaku hakabi, anapiga mauno kule mbele, siku za hivi karibuni, ole alimudu kwa kimchezesha winga, na ndio maana mnamuona lukaku anang'aa japo bado, rashford na lingard ni fighter sana, tuwe wakweli na wachezaji wwtu, kasoro ya timu yetu inawwchezaji wengi injury, timu ya backup haipo, inawakuta wanaset mind zao kwa mechi ngumu ya barca. Mtaamini watakavyokipiga na Barcelona
Haka
 
Binafsi sina imani na ole kuanzia Jana.
 
kwa uwezo wangu mdogo niliyonao kila camera inapoenda ndiyo na mimi nafatisha kwa dakika hizi 45 za kwanza sijaona hasa alichomshinda McTominay labda Solskjaer ameona zaidi
Hamna kitu kwa mechi ya jana scot anamzidi huyo Rice
 
Lukaku ni world class trust me. Timu aliyopo inamficha kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri tunatofautiana sana namna tunavoangalia mpira na kuutafasiri. Kwangu lakaku ni bora sana kwasababu ana_offer vitu vingi sn uwanjani, anasimama kama main man pale mbele na akiwepo beki hazina amani, anatokea pembeni na analeta cross za mana kana kwamba ni natural winger. Yupo physical na anaweza ku_hold mipira kule mbele huku akiwasubiri wenzie wapande mana kumbuka team yetu inacheza deep zaidi kwaio huku mbele tunakuwa hatupo saana
, vitu ambavyo ivyo vitoto vya kiingereza haviwezi kufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna muda unahitaji u-contain pressure ya mchezo, wewe kama mido wa chini ndo unaiona timu yote, mpira unaupeleka wapi ili tufunge, wapi ili tuanze shambulizi,
Aiseeee, kuna sababu hadi leo hii bastian shweisteiger aliitwa midfield general,
Mido sio tackling tuuu kila saaa,
sasa umeshaongoza mmoja, alafu watu wanakuja kama nyuki, unalinda vipi matokeo?? kwa kufanya tackling pekee??
Si utakula umeme chap, lazima ucontrol tempo ya mchezo, game inazidi speed na mnataka muende slow, mido wa chini ndo anaepooza game, au kuiharakisha,
Rice is far from being a great mid, heri mctominay analeta matumaini....Kwangu Mimi Declan Rice Sio chaguo Sahihi kwa Man United kwasasa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As Manchester United supporter
We can't win any troophy next season with these kids
Utoto Utoto mwingi

Wachezaji wa muhimu tulionao Manchester kwa sasa ni wachache sana

Mi binafs nampenda lukaku tu,the guy is talented and hard working

We need to employ new players

God first
 
Tatizo ni ule uingereza uingereza ila huyo dogo wala siyo big deal!
 
Tukiendelea kutukuza uingereza uingereza timu hii itapoteana sana. Kwanza waingereza hawana vipaji vikubwa kama wanavyonadiwa na media. Ukaribu Wa Ole na Mzee ferg Labda yaweza kuwa ni msingi Wa ole kutaka kutukuza na kukumbatia waingereza mana huyu Mzee nae alikuwa hivyo
 
Nakuunga mkono kuhusu Rice, but naamini scot bado hajafiti kuwa DM, ndio maana OLe kamsogeza mbele(box to box).

Note: simaananishi Rice ndio tumchukue kama DM.

Sent using simu mbovu
 
Mkuu Ole anampenda sana Lukaku ndio maana anataka akacheze kwenye usiku wa mabingwa jumanne. Hataki aumie huku mchangani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…