Kwani Declan Rice kama anakiwango kizuri hatakiwa kumreplace Herrera simply kwa sababu ni mwingereza ?Halafu eti replacement ya Herrera wanamtaja yule dogo wa West Ham Declan Rice (mwingereza) yaani upuuzi mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusiwe biased kwenye hiyo list ni wachezaji wawili tu ambao kwa msimu wanacheza angalau match tano hivyo ulitaka awekwe smalling over bailly ambaye msimu huu hajafanya lolote la maana kikosini ?
Au ulitaka awekwe young over Damian ambaye msimu unakaribia kuisha amecheza mechi Moja?
Tunataka overhaul lakini siyo overhaul ya kivuta bangi na kwa hali ya team ilivyo tusitegemee hata kama team itanunua wachezaji kumi at once tutabeba EPL next season team itahitaji kukaa pamoja angalau for a season.
Mpira hauna mafanikio ya haraka kama kuoka mikate lazima tuwe na subira na mipango ya kutuondoa hapa tulipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza OGS hajaanza kutekeleza mipango yake ya usajili tunawezaje kumlaumu na kuanza kuona mapungufu yake wakati Kitu pekee alichokifanya ni kutransform morali ya team tu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba wewe manure utashinda gemu zote. Si ndio??Arsenal ana fixtures za Toffees, Watford, Wolves na Burnley ugenini
Arsenal ana fomu nzuri sana nyumbani, lakini ugeni amekuwa tia maji tia maji especially kwa hizo timu nilizozitaja akiwa ugenini atapata tabu sana. Lakini kiujumla timu ya Arsenal haijawahi kuaminika.
Chelsea ana fixtures za Man na Liverpool away, hapo sijataja mechi zake dhidi ya mid "tablers" ambapo juzi tu dhidi ya mshuka daraja Cardiff umeona alivyomhenyesha
Spurs amebaki na Man City, lakini mechi nyingine alizobaki nazo sio ngumu sana. Lakini kumbuka huwa anafungika na timu ndogo pia, angalau Spurs ndio yupo pazuri
Kwahiyo top 3 race bado ipo open Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa huu mtazamo upo sawa. Ila kiuhalisia kila kitu kinajulikana.Kwa Mtazamo wangu, Nafasi ya Kuingia Top 4
Arsenal 30%
United 30%
Spurs 25%
Chelsea 15%
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana yangu ni kuwa Young na smalling wabaki kama back up.
Kama msimu ujao bado tutakuwa tunamtegemea Young na Victor-Smalling partinership, tuandike maumivu.
Summer itatupa picha hawa jamaa wana malengo gani. nataka nione kama Ed na Glazzers wako serious.
Sent using simu mbovu
Ni ngumu sana maana utalazimika ununue defenders wasiopungua wanne hasa Rojo na Bailly watakapoondokaMaana yangu ni kuwa Young na smalling wabaki kama back up.
Sent using simu mbovu
Smalling ni bora kuliko Bailly by farBailly kusema kweli msimu huu hajafanya vizuri hata kidogo unakumbuka ile game aliyotolewa dakika ya 26 baada ya man u kupigwa goli mbili ndani ya dakika hizo?
Katika mechi zote alizocheza bailly man ama alifungwa kwa makosa ya defence au alitoka sare au alianziwa kufungwa goli kisha akachomoa.
Kwangu mimi smalling anajitahidi kuliko Bailly hivyo ni sahihi kumwachia aondoke tu heri tutafute beki mwingine kuliko kuendelea kubaki na madefender wengi mapazia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha pale alichemka..Ole hata sub za juzi pia alichemka ukweli lazma tuseme ! Lukaku ilibidi asitoke na hata dalot ! Fred pia bora angetoka yule zeru alofunga goli hata timu ya taifa anaanzia nje
Sent from my SM-G928C using Tapatalk
Kwani Declan Rice kama anakiwango kizuri hatakiwa kumreplace Herrera simply kwa sababu ni mwingereza ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwa sababu ni mwingireza ndio asim replace Ander
Kinachoniuzi kwa sababu mwingereza ndio anatajwa amre place Ander
Mimi sina personal issues na waingereza, lakini wanapobebwa na kusifiwa ujinga sababu ya utaifa wao ndio shida inaanzia hapo
Ndio maana ninamkubali Sancho, ndio maana bado nina imani na Smalling
Lakini eti uniletee story za Phill Neville kwamba tumsajili Dier kama njia ya ku transform middle ya United lazima nitapinga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukimleta K.K na wanna-bisaka.Ni ngumu sana maana utalazimika ununue defenders wasiopungua wanne hasa Rojo na Bailly watakapoondoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Jogoo hachukui ubingwaMuungeni mkono Ole,kazi aliyo ifanya Man U ni remarkable sana!
Aliikuta Man U ipo hovyo sana sasa inaeleweka
Mna mechi nyingi bado,mtakuwa OK
Karibuni Melwood kwenye party yetu ya ubingwa
Nani bado hayaogopi MAJOGOO?