Manchester United (Red Devils) | Special Thread

epl bhnaa wanakuacha kwanza kama sarri misigara kisha wanaanza yao wahuni


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Sikuichukulia poa kabisa hii timu, kwa sababu nimeangalia mechi zote hizo hapo juu. Wanacheza sana mpira, wako vizuri
 
Mi naamini mtashinda.. Mwaminini ole

Sent by anonymous user
 
Kile kiwanja cha Wolves kabla ya wachezaji kuingia uwanjani huwa mataa yote ya uwanjan huzimwa halafu inaonyeshwa picha ya mbweha pale aisee hua kanatisha kale ka mnyama


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Tumefungwa kimchezo tu jambo la kawaida kabisa.

Mbona Liverpool waliongoza ligi kwa point saba na bado sasa hivi wanalilia waongoze walau hata kwa point Moja tu ?

Tukumbuke wolves hawa hawa wametutoa FA haikuwa game rahisi kushinda though it was a must win game.
Game yetu iliyopita tulicheza vibaya mno japo tulishinda hivyo matokeo kama haya yalikuwa njiani kuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thread yetu imefikisha replies 107k na views 3M.

Hakika MUFC ni timu kubwa na yenye mashabiki wengi. Ni hivi vitoto vinatuangusha tu.

Ni ukweli ulio wazi kwamba timu nyingine hazina mashabiki bali zinashabikiwa na wenye chuki na MUFC.
Hayo ndio mafanikio ya timu? Kweli nyumbu mmeishiwa hadi mnajivunia viewers? Timu ambayo ukitaka kuelezea mara ya mwisho kuchukua Epl unaanza na "Hapo zamani za kale" haaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…