Ongeza na Mbape hapo na Neyma wameanza kuwa world class at tender ageMkuu, miaka 21 katika mpira bado tu ni mdogo? Mbona akina Ronaldo, Rooney, Messi katika miaka hiyo walikuwa na viwango vya juu? Dogo ndo mwisho wa kiwango chake hapo. Hakuna cha umri hapo.
Na mtu kama Mbappe unamuongeleaje? Mbona naye mdogo(hata kwa akina Rash na Martial), mbona yeye anaonyesha kiwango cha juu? Hao akina Rash na Martial, ndiyo wamegota mwisho wa viwango.1. Sidhani kama ni sahihi kuwalinganisha Mess na Ronaldo na hawa martial na rashford. Hizi ni dunia mbili tofauti.
2.Angalia kipindi Ronaldo na Rooney wanacheza ,walikuwa wanacheza na wakina nani?
Sent using simu mbovu
Tusishangae tukapata mshangazo wa Patrice Evra kupewa hiki kiti, sidhani kama ile kuonekana na ed woodward kila game wako pamoja ilikua ni kwa ajili ya kuangalia mpira tuu, nadhani Evra kuna nafasi anatafutiwa pale OT, na huenda ikawa ndio hii,
Ikumbukwe SAF kabla hajastaafu alimsifia sana Evra kuwa anajua kuongoza wengine na alimtabiria kuwa kocha mzuri baadae kama akiamua kuwa kocha kuliko giggs, akasema giggs ni mkimya sana, kocha anahitaji mtu aliechangamka kidogo,
Pia, nilikuwa nasoma makala moja jana,
Wakasema, lengo la kumrudisha OGS, ilikua ni kuirudisha utd katika njia zake, ndio maana akarudi OGS, akarudishwa na Mike Phelan, na SAF amesogea karibu na timu kuliko nyakati zote tangu alivyostaafu,
Inasemekana nafasi ya director of football position inaenda kushikwa na SAF mwenyewe kupitia kioo cha mtu mwingine anaeifahamu united, ndio maana hapa mtu kama Evra anaingia kwenye picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
mechi ya kwanza mulitoka suluhu ndani ya Anfield, sidhani kama itakuwa ni mechi nyepesi.Watadondokewa tu, usishangae hata nyie mkawakazia.
Kuna Leicester wako chini ya Brendan Rodgers (wa kwetu huyu), tuna imani naye.
Ongeza na Mbape hapo na Neyma wameanza kuwa world class at tender age
Sent using Jamii Forums mobile app
mechi ya kwanza mulitoka suluhu ndani ya Anfield, sidhani kama itakuwa ni mechi nyepesi.
tunaokwenda kule uchawini kumbe tupo wengi lakini hatujuani, naipenda ile thread kwa mijadala yake yenye kujenga hususani ishu ya DOF, post match review n.kNot a great performance, but this HAS to be Matic’s last season as a first-teamer. He’s shockingly past-it now.
Herrera had on one of his headless chicken days, and when you combine that with Young’s usual headless chickenry and Mata doing his best impression of a 12 year old pre-pubescent boy’s physical presence, we might as well not have a right side on the field.
leicester city, umesema kocha wao ni mtu wenu wa karibu kwa sababu alishawahi kufanya kazi liverpool.Mechi gani unaizungumzia mkuu?
Mechi gani unaizungumzia mkuu?
Atakayebisha aje na sababu 1000Shaw ni mchezaji wetu bora msimu huu kwa nionavyo.
Labda mchezaji bora kwa wanawakeAtakayebisha aje na sababu 1000
leicester city, umesema kocha wao ni mtu wenu wa karibu kwa sababu alishawahi kufanya kazi liverpool.
tunaokwenda kule uchawini kumbe tupo wengi lakini hatujuani, naipenda ile thread kwa mijadala yake yenye kujenga hususani ishu ya DOF, post match review n.k
jana sikubahatika kuangalia mechi lakini nilipotembelea kule uchawini nikakutana na comment kama hizi nikajua kilichotukuta.
nimeshindwa kuangalia hata marejeo ya magoli mpaka muda huu.View attachment 1058791
Labda mchezaji bora kwa wanawake
ok kumbe nimedandia gari kwa mbele, 🙏🙏🙏Ooh, ile post ni mwendelezo wa chat yangu na Honestty kuhusu ni nani atakayemsimamisha Man City?
Nikamwambia nawategemea Man Utd mfanye hiyo kazi, yeye akasema hamwezi.
Hivyo nikasema matumaini yetu yanabaki kwa Leicester (Brendan) afanye alichofanya Hodgson na Benitez kutusaidia kumbana City.
That was the reasoning behind that post.
swadaktaMule kuna nondo sio utani..Kitu kingine watu mule hawana unafki,nyeusi wanasema nyeusi.
sijawahi kumuona sancho zaidi ya youtube.Kuna kitu kinanishtua sana kwa huyu sosha,
Priority targets zake ni Sancho, Declan rice, Wan Bissaka, na Odoi wa chelsea nae anamtaka akimkosa sancho,
Hawa wote ni englishmen,