Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mioyo ya mashabiki wa Man u inazizima kwahofu plus kukata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
fixed 100%
 
Sikilizeni Wakuu hapa tunacheza UEFA CHAMPIONS LEAGUE yaani ligi ya mabigwa so kukutana na Barca kusitufanye tukose

amani..Ukicheza champions league lazima ukutane na timu za maana la sivyo basi tukacheze EUROPA,Barca ni timu kubwa so

lazima uipe heshima yake lakin hata sisi wenyewe ni timu kubwa vile vile! nahata ikitokea tumefungwa kwani cha ajabu ni nn?kwani

tulikuwa tunategemea kushinda UEFA msimu huu? tuongee ukweli! Barca sio kwamba hawezi kufungwa anafungika vizuri tu sema

tunatakiwa tuwe na roho ngumu,Mechi zao nyingi nimeziangalia Barca wanamtegemea Messi sana na mara nyingi Messi

asipokuwa mchezoni huwa timu yao ina shake sana,kama tukicheza kitimu na tukaweza kumtoa Messi mchezoni naona

tunachance nzuri tu kufuzu Nusu fainali,ila pia naamini kuna michezo inafanyika hko UEFA kwenye hizi draw siku hizi mpira

umekuwa biashara sana, yaani pesa ndo inaamua kila kitu!
 
Ukijaribu kuangalia hizi Draw za Mancity na Barca huwa nina mashaka nazo mara nyingi sana unakuta wanakutana na Vibonde ss sielewi,kinaendelea nn ila sio kawaida hii..
Nani kibonde sasa hapo? Barca amepangiwa Man U. Kwani man u ni kibonde? Mmmmh haya
 
Nani kibonde sasa hapo? Barca amepangiwa Man U. Kwani man u ni kibonde? Mmmmh haya

Siongelee draw hii tu kama umeanza kufatilia mpira muda mrefu utaelewa nasema nn,mara nyingi Barca amekuwa akikutana na timu za maana baadae sana na sio mwanzoni hzi ni mbinu za kibiashara kufanya mashindano yavutie zaidi ili waingize pesa nyingi zaidi.
 
Siongelee draw hii tu kama umeanza kufatilia mpira muda mrefu utaelewa nasema nn,mara nyingi Barca amekuwa akikutana na timu za maana baadae sana na sio mwanzoni hzi ni mbinu za kibiashara kufanya mashindano yavutie zaidi
Jibu sasa kibonde ni nani? Mm nimeanza kufuatilia mpira juzi juzi tu. Kwahiyo hata PSG ilipangiwa kibonde? Tuongelee droo hii au iliyopita, tuachanane na history.
 
Unajipa moyo uku unalia lia


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Barca anafungika vizuri tu.

Hakuna mtu aliipa nafasi MUFC kuanzia mwanzo.
Kwenye hatua ya makundi chance ya kupita alipewa Juve na Valencia.


16 bora alipewa nafasi PSG.

Hapa pia MUFC haipewi nafasi, tusubiri kuona mpira ulivyo mchezo katili.

Barcelona anatupwa nje na Semi-final ni MUFC vs FC Porto.
 
Jibu sasa kibonde ni nani? Mm nimeanza kufuatilia mpira juzi juzi tu. Kwahiyo hata PSG ilipangiwa kibonde? Tuongelee droo hii au iliyopita, tuachanane na history.

Kama ungekuwa makini kusoma vizuri post zangu ungeelewa nimeongelea Draw za Barca na Mancity! na nimeongea hvyo kutokana na historia inavyosema sasa sielewi point yako hapo haswa ni ipi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…