Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mou kiburi sana. Mbona nyie chelse mmeshamfukuza mara kibao..?
Eti tumrudishe.. haha. Huyu ambae alikuwa anaipeleka timu shimon.. timu ilishakuwa chawote.. watu wanakuja kujichukulia point tu..
Aende zake.. man inahitaji kocha anae ujua mfumo wa united.. sio kocha kibur na majigambo
Mou kwa sasa mkimpa timu atakuwa amejirekebisha ..uyo Ole ni wale wale tu kama Pochettino..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mou anajirekebishaga.? Mara ngapi amekuja chelsea na ametimuliwa?.
Tabia ni kama ngoz haibadiliki. Ile ndio personality yake take it or leave it..
Bora akina ole sijui na pochettino ambao wanaelewana na wachezaji kuliko huyu jini kisirani muharibifu wa mambo
Mou kwa sasa mkimpa timu atakuwa amejirekebisha ..uyo Ole ni wale wale tu kama Pochettino..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uchambuzi wako ulikuwa unachambua soka au ulikuwa unachambua Mchele wa kujipikilishsha
 
Uyo Ole sioni Kama atawapa mnachotaka.. Mourihno kwa mf hiv mlivo UEFA angeweza kubeba...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu kocha mwenye rekodi nzuri kwa sasa Uingereza ni UNAI tutamchukua huyo. Au tukishindwa tutamchukua Wenger aliyefundisha arsenane miaka 21 ma anazidiwa idadi ya makombe na Mourinho aliyefundisha miaka minne Chelsea.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jidanganyeni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…