kwa matokeo ya juzi dhidi ya psg,nimegundua united tunaweza kucheza mechi mbili mbili kila wikend na tukamaliza ligi mapema kabisa ili tuokoe muda. Tuombe timu A ipone haraka tuanze mchakato.
Kwa jinsi tulivyo sasa tutapata wachezaji wazuri sababu ile falsafa ya Mou ilikuwa inafanya wachezaji wengi watukatae hata Ronaldo angerudi kwetu kama tusingekuwa na Mou