Mi sio shabiki wa United lakini nakubishia. Reff spent more than 2 minutes with VAR. Ball to hand gani mpaka mpira umefika jukwaani? Intentionally or not, but he blocked that ball by hand
Mkuu unatafuta tu kisingizio tu baada ya kupigwa. Kilichosababisha iwe penalt ni mpira uliozuiwa ulikuwa unaelekea golini, beki asingeupangua na mkono lingeweza kuwa goli.
Mkuu achana na Dalot ni mpira mmoja tu uliosababisha penalt kapiga wa maana dakika zote 55 alizocheza. Man of the Match ukiachana na Lukaku ni yule yule Tominay amewavuruga sana pale kati.