Si mmeona mlipotangulia GOLI moja mkarudi nyuma, nini kilichofuata?Tukipaki basi tutapigwa nyingi!! Bora kufunguka!!
Hahaaaa Mungu wa Lukaku!!!Tunahitaji goal Moja tu kuvuka round ikiwa tutawazuia wasifunge jingine wakifunga tutalazimika kupata two goals tena.
E Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wa Lukaku tunakuomba usimame nasi usiku mpaka tutakapowatoa rasmi PSG.
Amina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii link iko poa sana!
Ameumia au? Mbona sub za mapema hivi?BAILLY anatoka, DALOT anaingia
Hii reply inafurahisha sana.Hapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mmeona mlipotangulia GOLI moja mkarudi nyuma, nini kilichofuata?
Mkakaribisha mashambulizi, na PSG wakabahatika kupata GOLI la kusawazisha.
Na mlipoanza kucheza mpira wa wazi na kushambulia, mkapata tena GOLI, na kuanza kushambuliana zamu kwa zamu
Hiyo ni Burma TV iko clear sana, na haikwami kwami.Hii link iko poa sana!
Hivi HT wanakata matangazo naona inaload tuu!!
Sidhani.
ARV sasa ivi hazina soko tena dawa kamili imepatikana, badili id mkuu...Hapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayar LUKAKU kashatia miti miwili..Endelea kuota
Alisikika mlevi mmoja akisaliTunahitaji goal Moja tu kuvuka round ikiwa tutawazuia wasifunge jingine wakifunga tutalazimika kupata two goals tena.
E Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wa Lukaku tunakuomba usimame nasi usiku mpaka tutakapowatoa rasmi PSG.
Amina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alizoea kucheza pale beki ya kati, leo kawekwa namba mbili kapata shida sana kule kwa diMaria. Huyu ni beki wa kati tu kupambana na mawinga hawezi.Sidhani.
Ni mbinu za kimchezo.
BAILLY alipotea kimtindo, na kupwaya
United haitabiriwagi matokeo!!Mpira wa Miguu ni Mchezo wa ajabu sana.
Sikutegemea MAN UTD mpaka mapumziko kwa matokeo haya ya kuongoza.
Nilitegemea mpaka kufikia mapumziko MAN UTD ameshachezea japo Tatu fulani hivi kwa Sifuri
Si umeona mkuu, alikuwa kule kwenye kibendera kulia badala amimine krosi Lukaku aruke nayo, akatoa pasi ndeeeeefu kurudi nyuma kwa kipa wake, Mbape akaidaka katikati ilikuwa ilete balaa. Commentators wameshangaa sana aina ile ya pasi.Hii reply inafurahisha sana.
Sent using simu mbovu
Sidhani kama ni injury, nahisi ni technical sub
Baadae tutajua ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo anataka na yeye apate GOLI (mbinafsi).Rashford simuelewi!!