Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mawazo ya mtu hayapingwi....ila ww unaonekana kama Mamluki hivi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila jambo lina faida yake na hasara yake

Balaa la majeruhi ni BALAA, japo linaweza kuwa fursa kwa kwa chama letu pendwa, MANCHESTER UNITED.

Kumbukumbu inaonesha Rashford alipata nafasi baada ya Martial kuumia muda mfupi kabla ya mechi ya Midjland katika mashindano ya Europa League.

Huwezi jua. Pengine huu ni muda Garner, Chong na Gomes kuingia katika ulimwengu wa ma superstar na sio prospects/talents tena

Huwezi jua, pengine huu ndio wakati wa kumuibua Sanchez aliyejificha ndani tangu ahamie United.

Let's wait and see

This is what we call positivity

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fred sijui anakwama wapi,tatizo lake anataka kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja.
 
very true bro dogo gomes namuelewa balaaa,, nahisi huu ndio muda wao kukutana na changamoto kubwa ili wakue na waive
 
Herrera, Lingard, Mata,Matic,Jones,Martial,Valencia na Darmian wote majeruhi, Rashford 50/50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…