GenuineMan JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 7,068 Reaction score 16,381 Feb 24, 2019 #102,041 Sungusunguu said: Iv kutoonekana ni lazima hatokuwepo au inawezekana pia akawepo licha ya kutoonekana hotelini Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Unachokisema kinawezekana, lakini Mara nyingi nimeona mchezaji asipooneka wakati wanaingia hotelini, huwa hayupo kwenye mechi husika. Sent using simu mbovu
Sungusunguu said: Iv kutoonekana ni lazima hatokuwepo au inawezekana pia akawepo licha ya kutoonekana hotelini Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Unachokisema kinawezekana, lakini Mara nyingi nimeona mchezaji asipooneka wakati wanaingia hotelini, huwa hayupo kwenye mechi husika. Sent using simu mbovu
AdvocateFi JF-Expert Member Joined Jan 15, 2012 Posts 11,492 Reaction score 5,049 Feb 24, 2019 #102,042 Leo tunawapiga nyie nyumbu had mnakufa, tunapiga kipigo cha mbwa koko kile ambacho hamtaweza kutembea tena. Tutawauwa leo manure, Usichekeze kabisa na Moto wa Firmino, Mane, Salah.
Leo tunawapiga nyie nyumbu had mnakufa, tunapiga kipigo cha mbwa koko kile ambacho hamtaweza kutembea tena. Tutawauwa leo manure, Usichekeze kabisa na Moto wa Firmino, Mane, Salah.
Mc cane JF-Expert Member Joined May 18, 2018 Posts 5,569 Reaction score 10,527 Feb 24, 2019 #102,043 Kila msimu unapoanza, utawasikia this is our year........ For long 29 years Sent using Jamii Forums mobile app
Kila msimu unapoanza, utawasikia this is our year........ For long 29 years Sent using Jamii Forums mobile app
capitalpool JF-Expert Member Joined Sep 18, 2017 Posts 22,369 Reaction score 121,267 Feb 24, 2019 #102,044
capitalpool JF-Expert Member Joined Sep 18, 2017 Posts 22,369 Reaction score 121,267 Feb 24, 2019 #102,045
Mbimbinho JF-Expert Member Joined Aug 1, 2009 Posts 8,328 Reaction score 7,804 Feb 24, 2019 #102,046 Game ya leo naivyoisubiria utadhani nipo Angaza nakula ushauri nasaha nikisubiria majibu ya ngoma. Damn it. Sent using Jamii Forums mobile app
Game ya leo naivyoisubiria utadhani nipo Angaza nakula ushauri nasaha nikisubiria majibu ya ngoma. Damn it. Sent using Jamii Forums mobile app
moreta JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 296 Reaction score 572 Feb 24, 2019 #102,047 GGMU Sent using Jamii Forums mobile app
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,199 Reaction score 28,080 Feb 24, 2019 #102,048 AdvocateFi said: Leo tunawapiga nyie nyumbu had mnakufa, tunapiga kipigo cha mbwa koko kile ambacho hamtaweza kutembea tena. Tutawauwa leo manure, Usichekeze kabisa na Moto wa Firmino, Mane, Salah. Click to expand... Haya mkuu.
AdvocateFi said: Leo tunawapiga nyie nyumbu had mnakufa, tunapiga kipigo cha mbwa koko kile ambacho hamtaweza kutembea tena. Tutawauwa leo manure, Usichekeze kabisa na Moto wa Firmino, Mane, Salah. Click to expand... Haya mkuu.
capitalpool JF-Expert Member Joined Sep 18, 2017 Posts 22,369 Reaction score 121,267 Feb 24, 2019 #102,049 Time to pay city back🙁
AdvocateFi JF-Expert Member Joined Jan 15, 2012 Posts 11,492 Reaction score 5,049 Feb 24, 2019 #102,050 Mbimbinho said: Game ya leo naivyoisubiria utadhani nipo Angaza nakula ushauri nasaha nikisubiria majibu ya ngoma. Damn it. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... 😂😂😂😂😂
Mbimbinho said: Game ya leo naivyoisubiria utadhani nipo Angaza nakula ushauri nasaha nikisubiria majibu ya ngoma. Damn it. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... 😂😂😂😂😂
AdvocateFi JF-Expert Member Joined Jan 15, 2012 Posts 11,492 Reaction score 5,049 Feb 24, 2019 #102,051 Unaanzaje kupona mbele ya wahuni hawa.
Moyess JF-Expert Member Joined Apr 17, 2016 Posts 952 Reaction score 1,197 Feb 24, 2019 #102,052 Game ya leo nina pressure kishenz sijui tunakufa dah
Bhagavan JF-Expert Member Joined Oct 28, 2017 Posts 2,005 Reaction score 2,893 Feb 24, 2019 #102,053 AdvocateFi said: Leo tunawapiga nyie nyumbu had mnakufa, tunapiga kipigo cha mbwa koko kile ambacho hamtaweza kutembea tena. Tutawauwa leo manure, Usichekeze kabisa na Moto wa Firmino, Mane, Salah. Click to expand... Ukumbuke kurudi katika huu uzi baada ya mechi .
AdvocateFi said: Leo tunawapiga nyie nyumbu had mnakufa, tunapiga kipigo cha mbwa koko kile ambacho hamtaweza kutembea tena. Tutawauwa leo manure, Usichekeze kabisa na Moto wa Firmino, Mane, Salah. Click to expand... Ukumbuke kurudi katika huu uzi baada ya mechi .
Ugiligili JF-Expert Member Joined Jun 20, 2014 Posts 3,023 Reaction score 4,071 Feb 24, 2019 #102,054 Man u hafi leo..labda ww nishabiki wa liva GGMU Moyess said: Game ya leo nina pressure kishenz sijui tunakufa dah Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Man u hafi leo..labda ww nishabiki wa liva GGMU Moyess said: Game ya leo nina pressure kishenz sijui tunakufa dah Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Bhagavan JF-Expert Member Joined Oct 28, 2017 Posts 2,005 Reaction score 2,893 Feb 24, 2019 #102,055 Sungusunguu said: Wakuukesho ckukuu tunaifanyia ot Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Nenda kabet mkuu usijipe stress zisizo na msingi mkuu jogoo leo analiwa mzima mzima hatuna haja ya kumchinja leo tunamla kama alivyo .
Sungusunguu said: Wakuukesho ckukuu tunaifanyia ot Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Nenda kabet mkuu usijipe stress zisizo na msingi mkuu jogoo leo analiwa mzima mzima hatuna haja ya kumchinja leo tunamla kama alivyo .
Moyess JF-Expert Member Joined Apr 17, 2016 Posts 952 Reaction score 1,197 Feb 24, 2019 #102,056 Ugiligili said: Man u hafi leo..labda ww nishabiki wa liva GGMU Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... IM A UNITED FAN..GGMU
Ugiligili said: Man u hafi leo..labda ww nishabiki wa liva GGMU Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... IM A UNITED FAN..GGMU
Kim Jong Jr JF-Expert Member Joined Mar 15, 2014 Posts 11,562 Reaction score 21,516 Feb 24, 2019 #102,057 Mourinho Soma hiyoooooo Sent using Jamii Forums mobile app
S Sungusunguu JF-Expert Member Joined Aug 4, 2018 Posts 1,280 Reaction score 998 Feb 24, 2019 #102,058 Bhagavan said: Nenda kabet mkuu usijipe stress zisizo na msingi mkuu jogoo leo analiwa mzima mzima hatuna haja ya kumchinja leo tunamla kama alivyo Jogoo lina liwa ot leo mkuu ww waza kubet tu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand...
Bhagavan said: Nenda kabet mkuu usijipe stress zisizo na msingi mkuu jogoo leo analiwa mzima mzima hatuna haja ya kumchinja leo tunamla kama alivyo Jogoo lina liwa ot leo mkuu ww waza kubet tu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand...
ruralofficer JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 2,499 Reaction score 3,635 Feb 24, 2019 #102,059 Daud1990 said: Mourinho Soma hiyooooooView attachment 1030850 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hahahaaa daud unamchukia Maurinho kuliko hata ARV anavyomchukia Martial. Sent using Jamii Forums mobile app
Daud1990 said: Mourinho Soma hiyooooooView attachment 1030850 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hahahaaa daud unamchukia Maurinho kuliko hata ARV anavyomchukia Martial. Sent using Jamii Forums mobile app
Kim Jong Jr JF-Expert Member Joined Mar 15, 2014 Posts 11,562 Reaction score 21,516 Feb 24, 2019 #102,060 ruralofficer said: Hahahaaa daud unamchukia Maurinho kuliko hata ARV anavyomchukia Martial. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kama kungekuwa na uwezo wa kufukuza kocha MAra ya pili au Mara ya tatu. Tungemfukuza Mourinho Mara ya pili na ya tatu tena ikibidi tumfunge kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
ruralofficer said: Hahahaaa daud unamchukia Maurinho kuliko hata ARV anavyomchukia Martial. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kama kungekuwa na uwezo wa kufukuza kocha MAra ya pili au Mara ya tatu. Tungemfukuza Mourinho Mara ya pili na ya tatu tena ikibidi tumfunge kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app