Mkuu msimu huu pale London Kuna timu gani ingene ikitoa hizi
Asernal
West Ham
Spurs
Chelsea
Fulham
Crystal Palace
Sent using Jamii Forums mobile app
ngoja kwanza ukutane na forward line iliyokamilika ndo ujiaminishe hiki ulichoandika, Smalling amekutana na Chelsea yenye forward butu na hiyo timu nyingine unayoisemea (sikumbuki timu gani) ili tujihakikishieWakuu mnamuonaje Smalling? Naona jamaa kawa beki kitasa sana hasa kwa mechi hizi mbili baada ya majeruhi naona kaupiga mwingi na wametengeneza partnership nzuri na lindelof. Smalling anazuia mipira ya juu na ya chini pia kwa ufanisi sana.
Martial ni mchezaj mzur sana hata mimi hilo naliona sijui kwa nini hakomai kama rashford angetia nia kama ya rashford habar ingekuwa tofaut
Lukaku ni mzuri kumshinda martial kwenye idara gani??Martial siwezi kumlinganisha na Lukaku ndio,
Kwanza naamini Lukaku ni bora kuliko martial ni vile tu Lukaku hayupo kwenye form.
Wakati mwingine naona Lukaku hajapata mtu wa kumpelekea mipira/kumchezesha kwa aina ya uchezaji wake!!
Tizama mipira mingingi anayopokea kwa match tofautitofauti, ni counter ndefu na mara nyingi zinamkuta peke ake mbele.
Kwa sasa naona kelele za mashabiki zinampunguzia confidence na umakini pia.
Lukaku ni mchezaji mkubwa mno compared to Martial.
Bailly nimepoteza imani naye kabisa..its better Smalling acheze na LindelofWakuu mnamuonaje Smalling? Naona jamaa kawa beki kitasa sana hasa kwa mechi hizi mbili baada ya majeruhi naona kaupiga mwingi na wametengeneza partnership nzuri na lindelof. Smalling anazuia mipira ya juu na ya chini pia kwa ufanisi sana.
Lukaku ni mzuri kumshinda martial kwenye idara gani??
Yaani unawalinganisha kwa kutumia factor gani??
Kama watambakisha ole inabidi tuingie sokoni tusake namba tisa mkali,RW,RB,CM na DM mmoja maana matic msimu ujao naona atazidi kuwa mzito..Huyu ole gunna solskjaer wakuu tukiongea bila unafiki wachezaj anaopata nao matokeo ni wale kama sir alex alivyokuwa na wakina cleverly na anderson wa kawaida sana eneo linalompa shid ni namba 9 kwa lukaku na 7 ya sanchez plus namba 5 mmoja wa maana
Ukiangalia sub anazofanya bado utamaduni wetu jana kanifurhisha kumpa natasi andreas perreira ana iman na academy Zaidi hakujali makosa ya burnley
Ed woordward baada ya mechi kwisha niliona akifurahi balaa maana kumfunga chelsea nyumban tena goli mbili si mchezo
Lakini hata msimu uliopita tunaweza kusema Smalling ndo alikuwa beki wetu borangoja kwanza ukutane na forward line iliyokamilika ndo ujiaminishe hiki ulichoandika, Smalling amekutana na Chelsea yenye forward butu na hiyo timu nyingine unayoisemea (sikumbuki timu gani) ili tujihakikishie
kipimo sahihi ni Liverpool, PSG na City
Okay..Nazungumzia rate zao za ubora in a perfect form.
ExactlyLakini hata msimu uliopita tunaweza kusema Smalling ndo alikuwa beki wetu bora
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haWakuu mnamuonaje Smalling? Naona jamaa kawa beki kitasa sana hasa kwa mechi hizi mbili baada ya majeruhi naona kaupiga mwingi na wametengeneza partnership nzuri na lindelof. Smalling anazuia mipira ya juu na ya chini pia kwa ufanisi sana.
ha ha ha ha ha dah eti ARSENAL kafa nayeKuna mwenye wasiwasi na OGS? kishakata mechi nne kubwa moja kapoteza kipimo tosha hicho apewe timu tu
Spurs=kafa
Arsenal= kafa
Psg= katutoroka
Chelsea=kafa
ha ha ha ha ha dah eti ARSENAL kafa naye
come on red devils
cityzen chairman am here
sijawai kutegemea kama red devil win against cardiff city or arsenal then mnashangilia dahKashinda basi