Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,924
- 27,165
Tutawapiga jumatatu ..msiseme hawa madogo hawakuwepo ..maana hata uwepo wao ni sawa hawapo.Wakuu mnaonaje martial na lingard hawatokuepo almost three week, nani wataziba hayo mapengo?
Sent using simu mbovu
Huchelewi kupotea mkuu ,wewe jiaminishe tu lakini hamtoamini kitakacho wapata nyie CHELSIXTutawapiga jumatatu ..msiseme hawa madogo hawakuwepo ..maana hata uwepo wao ni sawa hawapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
At least wachezaji bora kabisa, ma faita wapambanaji wamecheza Chelsea..
At least wachezaji bora kabisa, ma faita wapambanaji wamecheza Chelsea..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani unajua trophies tulizobeba wakati ilivyokuwa Chelsea bora.
Mkuu sorry, umeongea kama hao wachezaji wako academy ya man u.
Marco verrati si rahisi PSG kumuachia, muda huu ambao wanamuhitaji sana.na hata wakimuachia itakuwa ni kwa pesa ndefu sana, so sizani kitu kaa hicho kinaweza tokea. Lakini ni kweli angetufaa sana nazani kucheza eneo la matic pia.
Christian Eriksen, sawa tatizo levy, jamaa yule ni mgumu sana kudeal nae,
Harry Maguire sina neno,
Harry Kane, hii kitu ni ngumu sana, nazani ni 150+£, club yetu haiwez kuspend hivyo , wakati kuna maeneo mengine yanaitaji additions, pia kwanni tulete CF wakti kuna Rashford na Greenwood wanakuja.
Rabiot, huyu atapatikana free, lakini huyu ni more attacking, means ukimueka pamoja na pogba unahitaji DM mzuri sana(sio huyu matic aliyeanza kuchoka)
Ila naamin kocha mzuri anaweza kuwatumia vzr tuu.
Rabiot, mama yake ndiye agent wake, ni wasumbufu kiana.
Anyway cha mhimu tupate RW, Deep playmaker, CB, Na RB.
Sent using simu mbovu
wewe ndio unaota ndoto ya mchana wameconfirm wapi? Lini? Saa ngapi? ..... Kama Liverpool mmecomfirm usajili wa Rabiot na Barcelona wasemaje hahahaha... Homa ya kukosa EPL umeanza wapa wazimu subirini nje OTAcha kuota ndoto za mchana! Comfirmed Rabiot to Liverpool in summer.
wewe ndio unaota ndoto ya mchana wameconfirm wapi? Lini? Saa ngapi? ..... Kama Liverpool mmecomfirm usajili wa Rabiot na Barcelona wasemaje hahahaha... Homa ya kukosa EPL umeanza wapa wazimu subirini nje OT
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani unajua trophies tulizobeba wakati ilivyokuwa Chelsea bora.
Kwa sasa kikosi hakipo fresh lakini Man united haezi tufunga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee Mou siyo kocha mzuri. Kocha gani hana game kubwa wala ndogo yeye analinda tu muda woteHapa ndio mtakubaliana na mimi kwamba OGS sio kocha, alikutana na upepo tu. Vichapo ndio vimeshaanza hivo, this is the right time to remember our José Mourinho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha
Acha kuotaBarcelona haendi tena, Barca wamechenjia gia angan kwa kumsign de Jong mholanzi.
Spurs waliweka dau pia lakin kwa mujibu wa Agent wake, Favorite team ya Rabiot kwa england ni Liverpool.
Policy ya United kwa sasa ni kusajili mchezaji ambaye bado umri unaruhusuIcard naye amekiwasha huko inter nadhani ni aina ya quality strikers ambao wangetufaa sana ila cha ajabu sidhani kama bodi ina mawazo yoyote positive juu ya hilo
Huna uhakika na unachokisema kuhusu ikard ndugu. Hana huo umri unaosema jamaa ana 26 yrs old,halafu kuhusu kutoitwa Argentina inasemekana kuna mgogoro kati yake na benchi la ufundi la national team,hata world cup ilopita jamaa ilisemekana hakuwa kwenye terms nzuri na Messi hivyo Messi kama captain aka influence jamaa asiitwe. Na kwa kukuthibitishia kwamba jamaa haitwi kwenye timu ya taifa kwa personal issues ni kwamba huo huo msimu Wa world cup mwaka Jana ambao jamaa alitoswa timu ya taifa alikuwa Top scorer Wa Serie A kwa kutupia magoli 29. Angalia hao walioitwa kwenye nafasi yake unambie nani alikuwa best kumzidi yeye. Icard yuko poa ndugu na naamini tukimpata atatusaidia sanaPolicy ya United kwa sasa ni kusajili mchezaji ambaye bado umri unaruhusu
Icard kwa sasa yupo kwenye 30, sidhani kama United wanaweza kumchukua unless awe special player of Messi, CR7 calibre
After all Icard ni mzuri lakini sio kama watu wanavyotaka tuamini, maana hata National team yenyewe pale Argentina hana uhakika wa kuitwa (sio namba, hana uhakika wa kuitwa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye umri nimechanganya kidogo, nimekubali kusahihishwaHuna uhakika na unachokisema kuhusu ikard ndugu. Hana huo umri unaosema jamaa ana 26 yrs old,halafu kuhusu kutoitwa Argentina inasemekana kuna mgogoro kati yake na benchi la ufundi la national team,hata world cup ilopita jamaa ilisemekana hakuwa kwenye terms nzuri na Messi hivyo Messi kama captain aka influence jamaa asiitwe. Na kwa kukuthibitishia kwamba jamaa haitwi kwenye timu ya taifa kwa personal issues ni kwamba huo huo msimu Wa world cup mwaka Jana ambao jamaa alitoswa timu ya taifa alikuwa Top scorer Wa Serie A kwa kutupia magoli 29. Angalia hao walioitwa kwenye nafasi yake unambie nani alikuwa best kumzidi yeye. Icard yuko poa ndugu na naamini tukimpata atatusaidia sana
Unamuita kocha mwenye makombe 20+, mwenye uefa zake, aliewahi kuchukua treble sio kocha mzuri sababu ya kocha mwenye makombe matatu ya ndondo cup????Asee Mou siyo kocha mzuri. Kocha gani hana game kubwa wala ndogo yeye analinda tu muda wote
Angalia statistics za icard kwa mwaka Jana utaona hadi wanaenda world cup yeye ndiye aliyekuwa bora zaidi ya dyabala,Kun na Higuain ila bado akatoswa. Ubora huo wanaouona kwa mtu kama higuain ni upi hadi amtoe icard timu ya taifa? Higuain ni mchezaji namfananishaga na fellaini,yaani ni wachezaji flani wenye bahati ya kupendwa na walimu zaidi bila kujali uwezo wao. Mimi huwa naamini Icard ni quality striker kuliko Romelu. N way yote ya yote wote tunahitaji kuona timu tunayoishabikia ikiwa ni ya kiushindani hasa pasipokujali ni mchezaji gani atapatikana.Kwenye umri nimechanganya kidogo, nimekubali kusahihishwa
Lakini kuhusu yeye kutoitwa National Team sababu ya Messi hiyo ni theory inayojaribu kuelezea kwanini anaachwa, na theory sio reality
Ukweli ni kwamba kocha anaona Aguero, Higuan, Dyabala, Messi & co. kuwa mbele yake kiuwezo
Icard hawezi kuwa upgrade ya United foward line.
Ukiangalia hata stats za magoli, Mauro ana goli 9 msimu huu, Rash ana 9, Martial nadhani ana 9 pia. Lukaku ana goli 8, japo yeye amefunga goli kila baada ya dakika 178 wakati Mauro yeye amefunga goli kila baada ya dakika 185
United hatakiwi kusajili average player kwa sasa. Anapaswa kusajili mchezaji atakayeleta tofauti kikosini
Sent using Jamii Forums mobile app