Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu jamaa kanichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Mimi nashangaa hao wachezaji niliowataja wote wanapatikana kwa reasonable price tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mnaonaje martial na lingard hawatokuepo almost three week, nani wataziba hayo mapengo?

Sent using simu mbovu
Hapa ndio mtakubaliana na mimi kwamba OGS sio kocha, alikutana na upepo tu. Vichapo ndio vimeshaanza hivo, this is the right time to remember our José Mourinho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaitaji fullbacks atleast huyo RB, +RW (Sancho),
left flank, shaw na martial
Right flank, new RB na RW(Sancho) .
hapo atleast tutacheza modern football, Ukiziba left , unapigwa Right. Ukipaniki unapigwa kotekote,
Sio sasa hivi tukibanwa left habari yetu inakwisha.

Sent using simu mbovu
 
Very few strikers in the world better than Lukaku

And u can't replace him with less than 100 million pound

The money better used in more needy position such as central defenders, left footed Wenger, CDM, right back, pace number 10,

There is the room for academy products though, Chong (left footed winger), Mason Greenwood (Striker, left footed winger, pace number 10), James Garner (he need 2 years to wear Carrick shoes), Angel Gomez (Option for number 10, can also play in 2 wing positions)

Man Utd need to sign 4 or more players than selling

If there is any players we need to sell is a section of our Central Defenders, starting with Jones and Rojo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
lakini kumbuka unahitaji experienced players pia kuwa back up ya hao watoto uliowataja
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahaaaaaaa na ndicho walichotufanyia PSG hapo juzi, upande wa kushoto walimkamata paul pogba tukapoteza network.
 
Mkuu umeongea cha maana sana

Man na sisi huwa tunazingua sana (tunarudi kule kule, tunahitaji director of football), tunaachaje mchezaji kama De jong anaenda barca bila fight kutoka kwetu

Bado sokoni tukiangaza mibadala tunaweza kupata, mfano inatajwa kuwa United wanaongoza kuwa na network kubwa ya scouts duniani lakini wanakula mshahara wa bure tu

Bado ninaamini Koulibally anapaswa kuwa chagua la kwanza, chaguo la pili Skriniar na chaguo la tatu ni De Legit wa Ajax kwenye nafasi ya beki wa kati. Magure tatizo ninaloliona kwake hana pace japo ni best kwenye mipira ya juu

Sanchez auzwe hata kesho mteja akipatikana, either Man Utd imemshindwa au ameishindwa Man Utd

Rabiot ni mzuri lakini, kwa level za Spurs, kama tunataka Man Utd tofauti tunapaswa kuangalia better option than him.

Erickson kwenye bodi ya Utd tungekuwa na mtu wa mpira (wote wanawaza biashara) alikuwa ni mtu wa kumpambania dirisha la summer kwa maana spurs hawana nguvu sana kwenye negotiation kwani mkataba wake unaisha 2020. Huyu anapaswa kuwa mbadala wa Mata, I love Juan but he has very heavy legs.

Kuna watu wapo sokoni kama akina Ndombele, hivi hawa hatuwaoni? Hivi tumeshindwa kumuina Neves wa Wolves midfielder fundi wa Wolves. Vipi kuhusu beki kitasa wa Wolves Willy Boly?

Halafu bado tunashangaa tunafeli wapi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juve hana ubavu wa kumnunua Salah kwa cash

Offer yake ni Dyabala plus cash (zaidi ya pound milioni 40)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu, ni kweli Suala hili la director of football ni lazima limalizwe mapema ili tuhakikishe club inaanza mipango bora kuelekea msimu ujao, tukiamini kuwa usajili bora ndiyo chanzo cha kutupeleka sehemu bora zaidi...

Binafsi nadhani timu nayo haijaamua nani aje pale atuongoze kama kocha, mfano kama tunamtaka Pochettino, ni dhahiri director of football kutoka RB Leipzig Paul Mitchell atatufaa kwa sababu amewahi fanya kazi na Pochettino, Southampton na tothenham kwa mafanikio makubwa...... ila upande wa Pili, kama tumeamua kuwekeza kwa Ole nadhani timu itawekeza kwa Monchi wa Roma au Cantona...ingawa Monchi ni chaguo bora zaidi kwani anamipango bora ya kujenga timu kwa uwiano wa sasa na badae.. Ukirejelea sevilla na hata Roma unaona timu zinaelekea upande bora na anauzoefu mzuri utakao msaidia ole katika maamuzi magumu....

issue ya kumleta Eric Cantona kama director, imeletwa na yeye mwenyewe nadhani, baada ya week iliyopita kuweka post instagram akiwa OT hku akisema, hawezi sema chochote ila mambo makubwa yanakuja ndiyo mashabiki tukaanza kuamini yupo katika process za kuwa director wetu....

Uzuri wa kumleta Eric cantona ni kuwa Ole na cantona wote wanajua thamani ya kuwepo na kuipigania timu, pia Ed hatakuwa na ubishi na nyenendo mbovu na natategemea Cantona kupewa nafasi ya kusikilizwa maana ni legend bora pia Kauli hasi juu ya team zinafanya watu waamini Ed ni tatizo.....Mwezi wa Pili unaelekea ukingoni naimani kuna taarifa zitatujia kuelekea mwezi wa 4 kwani Ed kwenye mkutano na wawekezaji amezungumzia issue ya structure mpya ya club (kuongozwa kisasa yan director awe katika timu)....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ronaldo aliondoka Utd baada ya kufika dau.

Hao wachezaji ukifika dau unamchukua tu labda yeye binafsi akatae.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa wachezaji cash sio every thing

Tunapaswa kujiuliza kwa sasa United tuna pull factor gani ya kutoka mchezaji tegemeo PSG na kumleta United. Champion League qualification yenyewe bado hatuna uhakika, kama hela PSG pia wanayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndio mtakubaliana na mimi kwamba OGS sio kocha, alikutana na upepo tu. Vichapo ndio vimeshaanza hivo, this is the right time to remember our José Mourinho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye Avatar yako umemuweka Keane je Keane alifanikiwa kama kocha wewe Lofa... Pia zungumzia nafsi yako, huyo Mourinho utamkumbuka peke ako, hakuna hata mmoja aliesema Ole afukuzwe ila wewe usiejua soka unakurupuka....nadhani kilichobora kwako ni kumfuata Mourinho huko urusi anajifanya job kama pundit kwa mda... Hpa OT hana nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lakini kumbuka unahitaji experienced players pia kuwa back up ya hao watoto uliowataja

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe mkuu

Umesoma para ya tatu, tunahitaji kusajili watu kama 4 au 5 wa maana lakini hao watoto pia wakipewa mechi chache chache kwa ajili ya kuwaandaa kwa siku zijazo

After all timu inahitaji kikosi kikubwa

Mfano sasa Lingard na Martial wameumia kwenye namba zao kutakuwa na weakness kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia namba 10 hatuna na ndiyo inayoleta shida... Naimani lingard sio fit sana kucheza kama namba 10 na Mata hana speed so ni lazima tusajili huyo namba 10 .... Kuna tetesi kuwa tunamfuatilia Joao Felix toka benfica ni Miaka 19 anaweza akatufaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeongea cha maana sana

Man na sisi huwa tunazingua sana (tunarudi kule kule, tunahitaji director of football), tunaachaje mchezaji kama De jong anaenda barca bila fight kutoka kwetu
haya mambo ukiyaweka akilini sana yanaweza kukupotezea usingizi wako, ndio maana siku hizi nimeacha kufuatilia stori za usajili kwa kuhofia kujipa ugonjwa wa kujitakia, unaweza kukuta klabu yetu wala haina habari na koulibally ila sisi ndio tunajitia kiherere here.
teh teh teh
 
Naona nimepata mtu aliekuwa anawaza kama mim, nadhani tukipata 3 kati ya hao uliowataja na kuongeza right wing tutakuwa mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimu ujao huyo atatua OT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…