Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio ujuwe ubora wa Liver dhidi ya Man u, wale tuliwapiga 3 full squad na tuliwakimbiza katika moja ya mechi bora CL mwaka huu, poleni watani ila ni ukweli tu wachezaji wengi sio wazuri hata EPL tu mko nyuma sana ya top 6
Hauwezi ku-analyse mpira namna hiyo. Mpira anatathiminiwa kwa mechi iliyochezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na PSG possibly Cavani na Neymar ndani
 
Ndio ujuwe ubora wa Liver dhidi ya Man u, wale tuliwapiga 3 full squad na tuliwakimbiza katika moja ya mechi bora CL mwaka huu, poleni watani ila ni ukweli tu wachezaji wengi sio wazuri hata EPL tu mko nyuma sana ya top 6
Mkuu mbona unajisahaulisha makusudi!!
Mechi ya kwanza mlishinda 3-2 mechi ya marudiano mlifungwa 2-1, aggregate 4-4 kama ingekua mtoano ungetoka.

Hata tukiongea maneno yakaisha haiondoi ukweli kuwa EPL ni over rated wachezaji wengi ni below average.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
manure!!!! baada ya kushinda mechi za mchangani wakawa na matumaini pia na ligi kubwa, aya next match neymer, Cavan ndani sijui mtaoga ngapi
 
Despite of having a regular win at EPL, we still need to improve our squad. Some players should be offloaded and a powerful addition is important.
Mata, Sanchez, Lukaku, Young, Jones, Valencia have to leave and bring other world class players. Our defence is totally a mess, midfield got a lesson.
Ed should drop atleast £300M cheque or more for summer signings. We should have a squad with quality and depth.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…