Mkuu unajidanganya big time
Mechi ya leo kati ya Chelsea na City tunaenda kuangalia tu utafungwa magoli mangapi na kuona hayo magoli yataingiaje lakini lazima kichapo kiwahusu
Na wakati Chelsea anajipanga kurudi top 4, United watakuwa wanamtafuta Spurs top 3
Sent using
Jamii Forums mobile app