Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu inahitaji beki nzuri, kwenye 4 na 5 mkipata partnership nzuri mtasumbua sana msimu ujao.

Ashley Young pia umri umeenda, succession plan inahitajika.
Hata namba 10 wa maana lingard simuoni kama mbunifu tunamchezaj mmoja tu mbunifu ni pogba vipi akiumwa? Means timu itakuwa haina ubunifu vyanzo vya ndani vinasema mata hana kasi solskjaer hamwamini sana kwa hiyo tuna pogba tu.
 
Pamoja na kwamba tunashinda Lakini timu yetu bado haipo imara bado defence ni mbovu na viungo hasa 6 na 10 wote tuliangalia mech ya spurs kilichotukuta timu inahitaji uwekezaji wa maana umahiri wa de gea umetupa point 3 dakika 45 za kipindi cha pili zilikuwa ni spurs vs de gea bado hoja ya mourinho inasimama palepale mabek wanatakiwa katika mech 6 tuna cleenshit 2 tu

Tushukur Mungu mchezaji wetu mwenye bahat marcus rashford akianza yeye kufunga goli huwa halirudi na tunashinda mechi ndicho kilichowapata spurs.
Tulicheza na timu imara mno kwa Sasa, Kati yetu na Tot, tot walikuwa wazuri zaidi yetu Dimbani, walituzidi kila Idara pale Wembely Kasoro Nafasi ya kipa tu bahati tu haikuwa yao.

Ni Kweli kikosi Chetu bado Sio imara Kama vilivyo vikosi vya Chelsea, Liver na Man City.

Lakini kuna mabadiliko tunayaona kuelekea kuwa imara kabla ya kukutana na PSG tutakuwa katika Nafasi Nzuri kiuimara.

Pana makosa machache tunayafanya lakini ni kutokana na transformation tunayopitia.

Mwalimu Ole anasema atafanya usajili mkubwa Katika Dirisha la usajili la Julai kwa Sasa anaamini Katika wachezaji waliopo na uwezo wao.

Nami binafsi naamini bado kuna vitu vingi vinakuja kutoka kwa Ole na bench lake la Ufundi.

Kikubwa wanachokifanya Sasa ni kuwajenga wachezaji mmoja mmoja, Ila kila mchezaji aonyeshe uwezo wake na kipaji chake uwanjani.

Bado tunawadai wakina Pogba, Sanchez na Martial.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
United vs Brighton "Timu ya Obama"
manchesterunited___Bs0ZiJ-gnNJ___.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom