AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Allison anabebwa na mabeki wa Liverpool.
Kama unataka kujua uwezo ALLISON basi muangalie kwa lakini DE GEA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Allison anabebwa na mabeki wa Liverpool.
Kama unataka kujua uwezo ALLISON basi muangalie kwa lakini DE GEA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako hawataki kuona hizi takwimu
Wapinzani wetu walijue hili tupo penye harakati ya kurejesha heshima yetu watuvumilie tu
Allison anabebwa na mabeki wa Liverpool.
Kama unataka kujua uwezo ALLISON basi muangalie kwa lakini DE GEA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuoneMan U ikimaliza Top4 nitajipiga ban JF na kutembea posta bila nguo.
Msisahau Jmos kutakuwa na msiba humu wale Brighton wanaenda kuharbu kibarua cha Ole.
YOUNG....anakipiga mbele ya delle pale kisela mavi na undava undava manina anampa vikumbo na matusi ya chinichini kumtoa mchezoni...
JONES... kidogo nimeona leo akikaza ila bado mzito kwenye kumalizana na foward kwa wakati muafaka....
LINDERLOF... mmmhu huyu jamaa full mitatoo anakaba kama muuza kashata na pweza...manina yaani muuza pweza hata ule kwa siri namna gani ukimuuliza nimekula vingapi hakosei...
SHAW... ni stalet yenye speed 400 anatema mate kushoto anafukia kulia...
MATIC... Haha jitu kubwa la miraba 8 ***** ana mguu kama kwanja akishika mpira huchukui kama katengenez yeye...kama anapiga kumbe anafinya
HERRERA.. Hapa sasa ndo uelewe hakuna mwispania fala labda morata tu...jama kama hayupo anapiga pasi mbonyeo na buti za nyuma ya kisigino mbili tatu nje
LINGARD... the Mouse(panya) mjanja uwanjani sa hizi unamwona hapa baadae yupo kuleeeeee tayari kashatoroka ye kazi yake ni kuvuruga viungo wakabaji na mabeki kwa kudokoa mipira na kukimbia nayo....kiraka...
POGBA... jina kubwa duniani pasi za upinde wa mvua malamaaake...pasi inapigwa karikaoo hadi ubungo na inafika kwa mtu ukifata unategua nyonga...miguu kama buibui pasi za mauzi na chenga za kukera..
MARTIAL... hahah hajui kingereza hadi leo inajua chenga tu...***** akiwa na mpira anakufata kama mbwa wa polisi hakimbii mwizi.
RASHFORD... (boxer) yeye kazi yake moja tu kukimbia kama anarejeta kifuani *****...anafinya anapiga mashuti mbonyeo kipa huoni...miguu miembamba kama muwa wa kutengenezea sukari🤭
DE GEA... Malamamaaaaaake huyu sio binadam ni robot kama huamini nenda playstation utajione....msenge anaweza kudaka hata risasi,mabom,mbu,na rocket zote ziendazo kasi...jamaa ana mikona elfu kumi na kila mkono una kazi yake.....
Sent from my iPhone using JamiiForums
Aaaaha, hii joke!!Nimeikuta hii some where
Angalia wanavyosema watu kuhusu De Gea, Alisson, Mou, Klopp, Kepa, Sir Alex Ferguson, na wengineo wamemsema.
Source: #SkySports
- Jose Mourinho : De Gea is not a goalkeeper.. he is the King
- Klopp :"If you have De Gea what more do you want? Maybe bars to celebrate wins and saves."
- Neymar : De Gea is a monster, not a human.De Gea is better than any goalkeeper by far. It will be a dream come true to play with him if I sign for #ManchesterUnited.
- Allison:"My role model is De Gea , he is the best ever goalkeeper the world has ever seen."
- Ronaldinho : David De Gea is the most complete goalkeeper i have ever seen. My son adores him"
- Kepa Arrizabalaga :Who said De Gea plays like me. Its a honour to be compared with the best player in the world"
- Drogba :"Many people know that De Gea is the best Goalkeeper in the world but they are afraid to say it."
- Pepe :"Comparing De Gea and another goalkeeper is like comparing an Alien with a human.
- Rafael Nadal :""The next time you compare De Gea with another goalkeeper , take a nap."
- Thomas Mueller : De Gea is the best player in the world, i just want him to win Ballon dor."
- Zinedine Zidane : De Gea is best goalkeeper in the world. Like it or Hate it
- Capello :"Give me De Gea and ten players. I will lift the Uefa Champions league."
- Sir Alex Ferguson :"De Gea is unbelievable."
- Marcelo :In our national team we are lacking a De Gea. An Angel."
- Iker Cassilas: One day I will tell my son, 'once upon a time there was De Gea'.
toka christmas na mwaka mpya malizia hapoMan u ndio timu pekee iliyoshinda mechi tano zilizopita.
sawa man u ilikua zamani....enzi izo baba ako anacheza auHii sio team bali ni pango la wahuni.
Man U ilikuwa zaman
alisikika mlevi mmoja akisema hivyoHii sio team bali ni pango la wahuni.
Man U ilikuwa zaman
nani kakuambia United wameshindwa kwa Koulibaly??Kweli hii team ina vichaa wengi, Kuna kipa dunian anayedaka bila mabeki?
Unadhan Kutoa Mpunga wote kumnunua Alison ilikuwa bure?
Last: Nyie si club tajir kwann sasa msinunue beki maana Koulibally tu mmeshindwa kumnunua, Man U ni sawa na baba tajir ambaye watoto wake wanashindia michicha.
nani kakuambia United wameshindwa kwa Koulibaly??
kama unataka kujua kama United ni klabu tajiri dunia au laa waulinze wenzio mchezaji ghali au alinunuliwa kwa pesa mingi anatoka timu gani halafu rudi tumalizie mada
Mkuu muda mwingine na wewe unabwabwaja tu,hivi Lingard kwanza unamfuatilia au?