severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Sijakuelewa ndugu,hatuna tatizo ktk back line ila atafutwe CB Wa ziada ama!? Mi naona tatizo lipo hasa kwenye beki za kati ktk kucheza mipira ya krosi,kona, na faulo. Tuna mabeki wenye vimo vizuri tu ila sijui ni timing wanakosea au nini sijui.kwa mechi hizi tatu sijaona matatizo katika back line tho tunahitaji CB mmoja
Beki huku pembeni kweli nako ni kamtihani,au labda wanamuandaa zaidi Dalot
kama hujaelewa tulia halafu soma vzr, mbona kipo wazi nilichosemaSijakuelewa ndugu,hatuna tatizo ktk back line ila atafutwe CB Wa ziada ama!? Mi naona tatizo lipo hasa kwenye beki za kati ktk kucheza mipira ya krosi,kona, na faulo. Tuna mabeki wenye vimo vizuri tu ila sijui ni timing wanakosea au nini sijui.
Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
Kwan bado mechi ngapi zimebaki si 18 na walioko chini ya msimamo walijua watakuwa huko waliko na mm nimesema wakizembea hao walioko juu na sisi tukawa na hari kama hii tulionayo kombe letu kwan ni kituko timu iliyopo nafasi ya sita ikajitahidi na kuchukua kombe ni mipango tu ya kila timu..!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
mipira ya krosi na faulo wana win sana wapinzani wanapokuwa kwenye boksi yetu,kwa hiyo bado kuna tatizokama hujaelewa tulia halafu soma vzr, mbona kipo wazi nilichosema
wala sijapinga hilo, nilichosema mimi katika hizi mechi 3 sijaona tatizo kwa centre backsmipira ya krosi na faulo wana win sana wapinzani wanapokuwa kwenye boksi yetu,kwa hiyo bado kuna tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
NEMANJA MATIC " THE TOWER"
Kumbe matic alikuwa anaharibiwa na mbinu za José, amekuwa moto sana.
Mourinho mpuuzi sanaMourinho alijuwa kucheza na akili za watu mpaka wakangia kichwa kichwa!
Eti timu ilikuwa ikifanya vibaya kwasababu hajapewa wachezaji anaowataka!!
Sasa huyu OGS kapewa hao wachezaji aliowataka Mourinho?
Watu walidhani Ed Woodward Ni boya sana kuwa ampe hela Mourinho halafu aishie kuwatukana wachezaji aliowasajili mwenyewe!
Tena kuna wengine waliamini kuwa eti Bodi itamfukuza Ed na kumuacha Mou! 😀
Mourinho mpuuzi sana
Linasajili lenyewe then lianza kuwatukana tena wachezaji wake..
Poor Manager..
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijaribu kumkutukana Mourihno mkuu.Mourinho mpuuzi sana
Linasajili lenyewe then lianza kuwatukana tena wachezaji wake..
Poor Manager..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha tena nyie vilaza nyie mumeshindwa tufunga zama za mo sijui km mutatuweza tena.
"Something the best Defensive option is Offensive"Defence bado haiko stable I think umeona improvement kubwa kwenye midfield+forward ( average 4 goals per match) na 7 players wamefunga magoli (Lukaku,Lingard, Herrera Martial,Pogba,Matic,Rashford)
Na still OGS anatafuta partner wa kucheza na Lindelof .Timu ikishinda ni ngumu sana kuona weakness zake
Kama defence sio nzuri best option ni kufunga magoli mengi ndio silaha tuliyo nayo now
Sent using Jamii Forums mobile app
Mou alikuwa anataka anunua beki wa £75 mil ili akadefend asifungwe na westham, na apate uhakika wa sare na south Hampton...Mourinho alijuwa kucheza na akili za watu mpaka wakangia kichwa kichwa!
Eti timu ilikuwa ikifanya vibaya kwasababu hajapewa wachezaji anaowataka!!
Sasa huyu OGS kapewa hao wachezaji aliowataka Mourinho?
Watu walidhani Ed Woodward Ni boya sana kuwa ampe hela Mourinho halafu aishie kuwatukana wachezaji aliowasajili mwenyewe!
Tena kuna wengine waliamini kuwa eti Bodi itamfukuza Ed na kumuacha Mou! 😀