Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,563
- 21,516
Naona matokeo ya united vs Cardiff yanakufanya kuweweseka mpaka Leo ... Mkuu tulia hapo moto ndio kwanza umeanza ...Man U 5 na 2 Dortmund under Mourinho's coaching, download afu ole wako usijitekenye afu nisikukute hapa Jamii Forum kumbe umebadili tu ID ya kale na kutumia nyingine mpya.
Download kwenye youtube afu uje na majibu na kuhama jumla jumla Man U
Shukrani mkuu kwa kunisaidia kusaka source... Huyu jamaa aliposema Man u ilimfunga Dortmund 5 - 2 mpaka nikahisi labda sifuatilii soka kisawasawa..... Pia alisema Mangala ni beki yetu hahahahahahNaona matokeo ya united vs Cardiff yanakufanya kuweweseka mpaka Leo ... Mkuu tulia hapo moto ndio kwanza umeanza ...
Ukute ulikuwa unamaanisha hiyo mechi kwenye attachmentView attachment 975767
Mkuu acha tu, halafu serikali wanajigamba wamefanikiwa kutokomeza viroba. (Joking)Shukrani mkuu kwa kunisaidia kusaka source... Huyu jamaa aliposema Man u ilimfunga Dortmund 5 - 2 mpaka nikahisi labda sifuatilii soka kisawasawa..... Pia alisema Mangala ni beki yetu hahahahahah
Mkuu acha tu, halafu serikali wanajigamba wamefanikiwa kutokomeza viroba. (Joking)
GGMU
Wewe na Mourinho wako mmepewa za uso..mlitaka mtuulie timu yetuJosé Felix mourinho is the winner. Kama unataka burudani nenda kaangalie WWE
Uchambuzi murua! Lakini, Martial akicheza 10 kwenye kikosi chenye Matic na Herera, ni ipi itakuwa position ya Pogba? Mimi nadhani Martial awe PURE left winger na atafutwe natural right winger ama Rash awe oriented kucheza hiyo position.Nakubaliana nawe, Kama tunakubaliana kucheza soka la kushambulia tunatakiwa kuwa na Beki Nzuri mno, Kikosi Chetu tuna Tatizo Katika Beki.
2. Young/Valencia umri umeshawakimbia
3. Shaw sio wa kumtegemea sana kutokana na majeruhi yake ya Mar a kwa Mara ingawa nakiri ni moja ya wachezaji wa Kiingereza wenye vipaji
Tuna Tatizo hasa Katika Beki namba 4 na 5, Lendlof ni mzuri hasa timu inaposhambulia lakini anakosa umakini timu inaposhambuliwa anahitaji kujenngwa zaidi.
Johnes Naye si Beki wa uhakika kutokana na majeruhi na Kiwango Chake kuwa cha kupanda na kushuka na si Beki mzuri kwa timu inayopenda kushambulia Muda wote.
Baily kuna Shida either ni Mou alishindwa kumtumia ama Mfumo ule wa kukaba Muda wote umemchosha mapema, Ana tatizo la kuzuia Mipira ya juu kutokana na kimo Chake.
Huwa nafikiria Baily aanze kuandaliwa kucheza Beki namba 2 Kama Mbadala wa Valencia/Young timu ikiwa inatafuta Beki namba 2 wa uhakika.
Kwenye eneo la Kiungo sina Shida hata Kidogo, Man United ni moja ya timu yenye viungo wazuri duniani hasa kiungo cha Chini.
Herera + Matic Kama timu tunatakiwa kuizoea Hii combination mapema sana, Mou alituchelewesha sana.
Juu ya Matic na Hererra anacheza Pogba.
Herera+Matic+Pogba wanakupa vitu vingi zaidi Katika eneo la Kiungo, timu inaposhambuliwa Herera na Matic wanashuka kuzuia na timu inaposhambulia Herrera na Pogba wanapanda kushambulia na kutengeneza pasi za mwisho Kama si kufunga kabisa.
Kwangu namba Tisa tuendelee kumuamini Lukaku/Rashford inategemea na Match.
Namba 10 tuendelee kumpa nafasi Martial ambaye huwa mzuri zaidi anapokuwa nyuma ya mshambuliaji.
Wings Lingard+ Sanchez.
Kuanza kwa Lingard na Rashford kutategemea na aina ya match.
Ila tunahitaji mshambuliaji Mmoja zaidi wa katikati kupatA Magoli Mengi zaidi.
Tunaongelea epl mkuu acha ubishi, halafu matokeo yalikuwa 1 4....Man U 5 na 2 Dortmund under Mourinho's coaching, download afu ole wako usijitekenye afu nisikukute hapa Jamii Forum kumbe umebadili tu ID ya kale na kutumia nyingine mpya.
Download kwenye youtube afu uje na majibu na kuhama jumla jumla Man U
Si tu kuifyekelea mbali Bali pia popote utakapomuona Toa taarifa kituo chochote cha police kilicho karibu na wewe.Picha ya Mourinho mumesha ifyekelea mbali katika huu uzi !!!
😀😀😀😀😀😀😀
Si tu kuifyekelea mbali Bali pia popote utakapomuona Toa taarifa kituo chochote cha police kilicho karibu na wewe.
Mou anakila sababu ya kufunguliwa mashitaja.
Lukaku wa Leo siwezi kumwamini!!Sina Shaka na Lukaku, ni goal Score mzuri Mno ingawa ana mapungufu yake hasa Katika umilikaji wa Mpira.
Lukaku ni mmaliziaji wa Kazi kubwa inayofanywa na viungo.
Man United ya Mourihno ilikosa Ubunifu Katika eneo la kiungo cha Juu kutokana na mifumo na Maelekezo ya Kocha.
Ni imani yangu kutokana na Mabadiliko ya Kocha na Benchi la Ufundi Lukaku atarudi Katika zama zake, anahitaji kuaminiwa na kupewa Nafasi.
Kwa United Tatizo halikuwa wachezaji, Tatizo lilikuwa Kocha.
Mourihno alishindwa kufaidika na wachezaji ama alishindwa kuwatumia wachezaji alionao Katika kupata Matokeo chanya.
Mifumo yake haikuwafanya wachezaji kuwa huru, alilazimisha wachezaji wote kuwa na uwezo wa kukaba Muda wote.
Ndio mana hata alipokuja Sanchez baada ya michezo kadhaa alianza kulalamika Mbinu za Kocha na Majukumu tofauti na uwezo wake anayopewa uwanajani.
Nadhani Kazi kubwa ya Ole Sasa Ni kuwarudisha wachezaji mchezoni na kila Mmoja kujituma Katika eneo lake.
Okay hilo linawezekana ila halituhusu,timu ilikufa hiiLakini kuna kamshabiki Fulani Wa Man Unite ambaye Ni Pro-Mourinho anajifanya yeye Ni Mshabiki Kindakindaki Wa Man United kuliko Hata David Beckam amesema hapa kuwa Mourinho atakapokwenda atapata mafanikio mwanzo kuliko Man United.
Tunza hii Comment yangu.Lakini kuna kamshabiki Fulani Wa Man Unite ambaye Ni Pro-Mourinho anajifanya yeye Ni Mshabiki Kindakindaki Wa Man United kuliko Hata David Beckam amesema hapa kuwa Mourinho atakapokwenda atapata mafanikio mwanzo kuliko Man United.
Uwe unaelewa, ninachomaanisha hapa ni implication ya clean ya sheets ni kwamba timu ina ruhusu kufungwa mara chache hivyo, ni rahisi kukusanya points hata inapofunga goli moja, au magoli machachehuu ni msimu wa tatu kipa wa tiko tiko ndo anakuwa kipa mwenye klin shit nyingi kuanzia la liga mpaka ulaya nzima kwa msimu anaondok na klin shit 23+ lakini makombe wanachukua Barca
nadhani wewe ndo umekariri
Tunza hii Comment yangu.
MOURINHO HAWEZI TUSUA KOKOTE. HIS FOOTBALL CAREER IS OVER. LABDA AENDE KOZI ZA MBINU MPYA ZA SOKA.
LAKINI AKIENDA LIGI YOYOTE YENYE WALIMU WENYE HAIBA ZA KAMA GUARDIOLA AU KLOPP AU POCHETINO, HATAAMBULIA KITU.
NA HATA KAMA AKIENDA KWENYE LIGI YOYOTE AKABEBA NDOO, KWENYE MASHINDANO YA KIMATAIFA AKIKUTANA NA HAO WALIMU IWE UEFA AU WORLD CLUB CUP LAZIMA APIGWE KIPIGO CHA MBWA KOKO.
Namshauri atafute kazi nyingine.
Football its all about three points acha mimi nikariri hivyoUwe unaelewa, ninachomaanisha hapa ni implication ya clean ya sheets ni kwamba timu ina ruhusu kufungwa mara chache hivyo, ni rahisi kukusanya points hata inapofunga goli moja, au magoli machache
Imagine mechi ya Southampton, Newcastle, Brighton, Wolves United angepata clean sheet angekuwa wapi kwenye ligi?
Hata hao unaotoa mfano wasingekuwa na hizo clean sheets may be wangekuwa wanamaliza ligi kwenye nafasi za 6 au 7
Ukweli ni kwamba, timu with the most clean sheets ina nafasi kubwa ya kuwa kwenye nafasi nzuri ya ligi na kuchukua makombe, Italia ipo hivyo, Ujerumani ipo hivyo, Ufaransa ipo hata Tanzania ipo hivyo.
Wewe umeangalia kamfano kako kamoja ka La Liga, ambapo hata huyo bingwa alikuwa wa 2 kwenye kuwa na clean sheets nyingi. KWA HIYO CLEAN SHEETS (SOLID DEFENCE) DO MATTER.
Na timu with the least clean sheets ina nafasi kubwa ya kushuka daraja au kuwa pabaya kwenye msimamo wa ligi hata ukiangalia kwenye ligi mbalimbali ipo hivyo
Kama hujali clean sheets cheza ovyo ovyo bila kuzingatia defense kama Evertoon upigwe 6 kwa 2 tuone kama utafurahi.
NARUDIA TENA, ACHENI KUKARIRI. MPIRA SIO KUSHAMBULIA PEKEE, LAZIMA UTAFUTE BALANCE KATI KUSHAMBULIA NA KULINDA.
Sasa hivi Uingereza, Liverpool na City ndio wanaoongoza clean sheets na ndio wapo top 2, Chelsea na Spurs wanafuata kwa clean sheets na wapo top 4.
ACHA KUKARIRI MKUU
Na hizo ndio LIGI nyanya kwa maana ya Local competition , anaweza kubeba makombe ya LIGI na PSG lakini akija UEFA kwa kupaki basi kule lazima achezeeeeeeee tena nyingi. TuNafasi Pekee aliyobakisha Ni PSG na Bayern.
Alikuwa na most clean sheet na timu yake ilikuwa ya pili, mwaka huu ana clean chache na timu yake ipo namba ngapiFootball its all about three points acha mimi nikariri hivyo
De gea alikuwa na most clean sheets katika PL last season lakini ndoo alichukua City
nawe kariri unavyokariri ova
unazungumzia kuhusu position??Alikuwa na most clean sheet na timu yake ilikuwa ya pili, mwaka huu ana clean chache na timu yake ipo namba ngapi
Uwe unaelewa na si kukariri
Real factAbsolute reality! Huyu taahira kumbe wakati mwingine huwa anaongea point asee