Mkuu hujanitaja na mimi lakini nasisitiza usishangilie matusi, maana kila mtu ana matusi ila tunajiheshimu tu, lakini tuna limits za uvumilivuRADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
RADIKA RADIKA RADIKA
Hahahaha unafiki hautokaa uishe.. Hahahaha namuangalia tu nabaki kucheka hihiiiiiiiiiihiiiii
Juventus ulimuona?
Hamna kitu humo kwamba ukimuunga mkono kocha ambae yeye hampend ni ujinga basi herrera na young waningaWewe so mwana michezo,
Kwani kumtetea kocha ni kosa? Ujue wengine huwa wanataka wazo lao ndio liwe msimamo ogopa sana kuingia kwenye hilo gengeMkuu hujanitaja na mimi lakini nasisitiza usishangilie matusi, maana kila mtu ana matusi ila tunajiheshimu tu, lakini tuna limits za uvumilivu
Mkuu nakwambia ni guarantee yule jamaa yupo hivyo ila kwa sasa nakwambia hata city na liverpool wanawenza kuja kushinda tena old trafford lakin chini ya mourinho ni ngumu sana tumetingwa sana ni suluhu sio kufungwaNiliona aisee, lakini bado siyo guarantee.
Maana hapo unasema Tottenham, Man City na Liverpool yaani asifungwe hata na moja kati ya hizo!
Mkuu nakwambia ni guarantee yule jamaa yupo hivyo ila kwa sasa nakwambia hata city na liverpool wanawenza kuja kushinda tena old trafford lakin chini ya mourinho ni ngumu sana tumetingwa sana ni suluhu sio kufungwa
Sisi ndo tumepoteza kocha nakwambia kaja kipindi kibaya sana
Mashabiki wa mourinho bnaa inamaana huoni kabisa kama mourinho ndo ametengeneza hivyo virusi kwa ujinga wakeJose pole sana
Lakini timu yetu kuna virusi wengi sana ambao ni wachezaji ngoja tuone pogba kafurahi balaa
Nenda kwenye page ya Manchester uone shwangwe lake... Ulitaka mabango ndio ujue watu wamechoka....Kwani kumtetea kocha ni kosa? Ujue wengine huwa wanataka wazo lao ndio liwe msimamo ogopa sana kuingia kwenye hilo genge
Binafsi hata ukifukua post zangu nilikuwa wazi mimi ni mshabiki wa timu na kocha haijalishi tupo kwenye hatua ipi akifukuzwa poa akibaki poa
Hadi mourinho anafukuzwa umewahi kuona mashabiki wa manchester united kule Uk wamebeba mabango ya mourinho out?
Mchawi bado yupo ndani ya timu tutaanza kufurahia mpira hadi tuwe timu ya mpira wa miguu sio timu ya kibiashara leo tumemfukuza kocha hivi young anaweza kuwa mendy au walker tuwe wakweli tu
Nani kamshauri hahahaha wabongo bana ??Kapost picha anachekelea baadae wamemshauri kaifuta sasa si utoto kabisa
Hao wana bifuKwanini?
Nimemdharau mkuuAchana nae huyo anafikir ukimpa kampani kocha basi ajae hutakiw kumuuga mkono yani kama rafiki yako huyo akiwa na bifu na rafik yake basi wewe hutakiwi kuongea nae
Sijapata kuona mshabik anahama na kocha