Watafuta vipaji hatuna united msimu wa 7 huu hamna beki wa kushoto wa maana au kulia ingia nne na tano tukubali kocha tumemtoa kafara tunafurahia subir aje van gaal mwingine
Man utd has bigger problem zaidi ya kocha , bunch of average players ambao hata kocha mpya hawezi kuwabadili na hao wakina egoist players ambao ndio wachafuzi wa dressing rooms and training sessions and since atakuwa intern coach inaweza kuwa ni majanga zaidi ya faida kumfukuza Mou muda huu..