Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aondoke huyu Jose,hana lolote
 
Mourhino ni mpuuzi! Hajui hata kusoma nyakati, hivi unafanyaje sub anaingia Felaini, anabaki Matta, Pobga na Martial nje.?

Huyu jamaa ni mpumbavu sana! Kani boa sana😡😡

Namchukia kuliko hata nichukiavyo Magufuli!!!

I hate Mourinho
Mjinga mjinga kabisa.Wanamsubirisha wa nn?Fukuza mpumbavu Jose
 
Kiungo yupo Fellaini,Herrera Matic (Died legs) na unategemea ubreak ngome ya liverpool!!!..WTF

Katoka dalot kaingia Fellaini,,for what purpose??

Ed Woordward aache upuuzi atutolee huyu Mreno..
Yani nimeshangaa sana kuna timu tunazipa ujiko wa kijinga sana angalia hata magoli ya hovyo hovyo tu tunayofungwa fellain anapata namba mbele ya pogba na mata?

Valencia mzoefu wa mechi anakaa bench anaanza dalot? Ile sio fulham
 
uchochezi
Daud1990 anakusalimia bwana radika anasema jose hana makosa.
baada ya real madrid kufungwa magoli 5 na barcelona walifanya maamuzi ya kumtimua kocha wao, nakumbuka kuna mdau mmoja aliandika humu ndani ya kwamba real madrid wamefanya maamuzi ya maana sana kumfukuza kocha wao na muda si mrefu watakuwa bora kuliko manchester united hii ya mourinho.
huwezi amini ukitoa mechi ya leo real madrid amezidiwa point 2 na barcelona, wakati wanamtimua kocha wao walikuwa na point 14 na jana wamefikisha point 29 japokuwa performance yao hairidhishi sana na hii inachangiwa zaidi na kuondoka gwiji wa mpira cristiano ronaldo, ina maana real madrid wamekusanya point 15 kwenye mechi takribani 7.

upande wetu tokea madrid wamtimue kocha wao sisi manchester united tumekusanya pointi 9 kwenye mechi 7, siku hiyo hiyo aliyofungwa real madrid magoli 5 upande wetu tunamfunga everton na kufikisha point 17 tukiwa nafasi ya 8 kwenye mechi 10.

TUNADHALILISHWA
 
Yani nimeshangaa sana kuna timu tunazipa ujiko wa kijinga sana angalia hata magoli ya hovyo hovyo tu tunayofungwa fellain anapata namba mbele ya pogba na mata?

Valencia mzoefu wa mechi anakaa bench anaanza dalot? Ile sio fulham
Alivyo tolewa Herela ndo nikashuru kabsaa pale ndo kanyonga tim yenu kabsaa
 
Nahodha wa Manchester United Antonio Valencia, 33,yuko tayari kuhama klabu hiyo ifikapo mwezi Januari mwakani, baada ya kukubali kuwa hana uwezo wa kubadili mtazamo wa meneja wake Jose Mourinho juu yake. (Mail)
 
Mourinho: “We felt we could win even a little bit undeserved. David is saying in the dressing room two easy balls for him but because of the rebounds no chance.” #mufc [Sky]
 
Yani nimeshangaa sana kuna timu tunazipa ujiko wa kijinga sana angalia hata magoli ya hovyo hovyo tu tunayofungwa fellain anapata namba mbele ya pogba na mata?

Valencia mzoefu wa mechi anakaa bench anaanza dalot? Ile sio fulham
Ukiacha Pogba,Fred na Mata hakuna kiungo mwingine anayeweza kulink timu kutoka katikati kwenda mbele..Sasa kwa nini kocha asijaribu kupata ubora wa hawa wachezaji ambao wanaonekana wanapotential za kutosha..

Huyu Mourinho alitaka leo abahatishe ili kwenye press conference aanze kumnanga Pogba,sasa kachezea za uso..

Players with quality wanawekwa nyuma na wale wabutuaji ndo wanapewa nafasi..
 
Kiungo yupo Fellaini,Herrera Matic (Died legs) na unategemea ubreak ngome ya liverpool!!!..WTF

Katoka dalot kaingia Fellaini,,for what purpose??

Ed Woordward aache upuuzi atutolee huyu Mreno..
Naungana na wanaoshangaa Mata kuwekwa bench. Sio leo tu,hakuna mchezaji pale MUFC anayeweza kumuweka bench Juan, hayupo!

Pia Matic huu msimu umemkataa kabisa lakini unashangaa Pogba anatupiwa lawama wakati hayupo vibaya kama alivyo matic
 
Mourhino ni mpuuzi! Hajui hata kusoma nyakati, hivi unafanyaje sub anaingia Felaini, anabaki Matta, Pobga na Martial nje.?

Huyu jamaa ni mpumbavu sana! Kani boa sana😡😡

Namchukia kuliko hata nichukiavyo Magufuli!!!

I hate Mourinho
Sub ya Fella ilikuwa muhimu sana, alitakiwa angalao mtu mmoja mwenye nguvu awavuruge. Shida ilikuwa kumtoa HERRERA, kiungo imekufa bado unamtoa tena herera unaweka forward. Pambaf sana.
 
Kiungo yupo Fellaini,Herrera Matic (Died legs) na unategemea ubreak ngome ya liverpool!!!..WTF

Katoka dalot kaingia Fellaini,,for what purpose??

Ed Woordward aache upuuzi atutolee huyu Mreno..
Dalot alilegea sana, halafu alikuwa na yellow.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…