SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,442
Liongelee hata hilo.moja ulilopata mzee. Napo mnahatishoZile goli mbili tumejichoma wenyewe
Sijamuelewa mourinho kabisa yani martial na mata wanakaake bench? Daaaa au anatafuta njia ya kufukizwa una valencia mechi ngumu anakaa benchi inanipa wasiwasi kuna litu anatafuta sio bure
Goli gani la kuzungumzia bila mipangoLiongelee hata hilo.moja ulilopata mzee. Napo mnahatisho
Umeona alichotufanyia.?Tunashinda mkuu jiamini JM huwa hakosei mara mbili
Zile goli mbili tumejichoma wenyewe
Sijamuelewa mourinho kabisa yani martial na mata wanakaake bench? Daaaa au anatafuta njia ya kufukizwa una valencia mechi ngumu anakaa benchi inanipa wasiwasi kuna litu anatafuta sio bure
Engineer somaaaa hiyoooooTunashinda mkuu jiamini JM huwa hakosei mara mbili
Mata na martial sio wa kukaa bench hata kwa pogba kama yule fabinho anacheza hao wanashindwaje? Uje keita hana maajabu kabaki kuvuruga players tuJosé ni kocha aliyepitwa na wakati mkuu,sijui umechelewa kuliona hili?
Anabaki kulaumu wachezaji ambao kocha mwenzake akiwapata atafanya maajabu,Mtu una Bailly na Rojo halafu unalialia huna CB,au hao ni wacheza golf?😀😀😀
Jose ameanza kushindwa mwanzo wa msimu baada ya kuwafanya walinzi wetu wa kati wasijiamini kutokana na malalamiko yake.
Tubaki na José tuendelee kubahatisha.
Mzee hapa hamna jipya toka mwanzo wote tulijua tunapoteza mechi sababu kocha hana mbinu za big gameEngineer somaaaa hiyooooo
Mourinho ni mbahatishaji sitoshangaa Man United wakashinda
P or pl pop o is poMan yuu....mnafungwa kwasababu mmeshindwa kumfunga Liverpool.
Huu si msiba mkuu matokeo tuliyajua ndo mana hatukuwa na paparaMsiba huu ni mkubwa sana ,daktari morinyo kasababosha yote haya poleni sana napenda kutoa rambirambi zangu
Mimi hilo nililisema zamani ila kwa sasa sisemi ili kila mtu ajionee.
Tatizo humu mashabiki wana mahaba na Mourinho pale anaposhinda watu wanamtetea kama anaonewa. Ila akifungwa wanaanza tena.
Mourinho hata ashinde mechi 500 mfululizo ni kocha mbovu kuliko hata Maralia Hamsini.