Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Mpira bwana kama maisha bahati ipogo tu Chelsea first attempt first goal
Sana.Mwana ana mambo ya kizamani kweli
It takes time kidogo timu ikae sawa. Wote watakuja vizuri tu.Kwa mara ya kwanza nimefurahia uchezaji wa timu yangu
Ila phil jones ana kazi kubwa sana tushukur herrera alikuwepo katikati bila hivyo maumivu.
Man Shitty ama Loserfools?!?
Mwaka huu mgumu kwa kweli. Ila ni heri Shitty wachukue kuliko hao Loserfools.
......ulishawahi kumuona guardiola akimweka nje bila ya sababu ya msingi david silva?
Nitajie mchezaji mzuri sana wa bei ndogoTena anaongelea investment ili ionekane timu inahitaji kununua Kama psg.....angekuwa anajielewa angenunua wachezaji wazuri sana kwa bei ndogo akawachanganya na accademy players
Unajua Torreira kanunuliwa bei gani? Unajua guendouzi kanunuliwa bei gani? Au unajua kante alinunuliwa bei gani?? If yes then jibu unalo mkuuNitajie mchezaji mzuri sana wa bei ndogo
Utaondoka ww utamuachaMorinho aondokeeeee
Kila la kheriManyumbu leo mnakenua ,mech ijayo mnazabuliwa
Mnarud tena Mou out
Siipend liver , ila siku hiyo nitakuwa liver ,wawasukumie mtaa wa 10 huko , mkacheze michuano mipya ya UEFA waliyoianzisha
Hv unajua soko la sasa lilivyochafuka??Unajua Torreira kanunuliwa bei gani? Unajua guendouzi kanunuliwa bei gani? Au unajua kante alinunuliwa bei gani?? If yes then jibu unalo mkuu
Hujui kwamba silva aliumia hapo ??
Ushindi wa siku moja usikufanye usahau mapungufu yaliyopo..kwanz tumechaza na timu yenye pointi 9 baada ya mechi 14Utaondoka ww utamuacha
Ushindi wa siku moja usikufanye usahau mapungufu yaliyopo..kwanz tumechaza na timu yenye pointi 9 baada ya mechi 14..fikiri kabla ya kutenda mzee
Kuna factor nyingi zinazopelekea kocha kufukuzwa umewahi kuona uwanjani mashabiki walionunua tiket wamebeba mabango ya mourinho out? Kwa nini jibu ni moja tu mchawi ni edUshindi wa siku moja usikufanye usahau mapungufu yaliyopo..kwanz tumechaza na timu yenye pointi 9 baada ya mechi 14..fikiri kabla ya kutenda mzee