CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,676
- 1,060
Ukimwambia City ni kiboko yake anasema alishawai kuifunga city zamani. Muulize kwasasa je? Atakuambia tusimpangie tuongelee ya zamani pia. Kwahiyo ya zamani ndio yanampa kombe msimu huu. Wana timu nzuri kuliko chelsea kuliko hata liver na arsenal. Sijui shida ni nn.Wewe utamuweza Lyon ikiwa city anakupapasa anavyotaka na kukuchomekea
Mkuu Mournho bado anajenga team,huyu coach wa Arsenal ameikuta team imeshatengenezwa tayari
Ni kweli kabisa maana wewe unaeshabikia hiyo yako umezaliwa mjini na umecheza mjini. Lakini mbona hizi timu zinakufungafunga sana? Halfu vijiji vyote havifanani na vya huko ulipotoka wewe. Wengine vijiji vyetu ni ulaya kwako. Sio kila mtu katoka chato. Kwni mm kukufunga ndio uanze kunitengenezea biography. Ok basi mm nilikuwa mshabiki wa Man U nikaona hatufanyi vizuri kila siku nafungwa tu nikaamua kuhamia city. Na wewe karibu.Ukimuona leo anayejiita shabiki wa Chelsea, Man city na Leicester hata Totenham jua
1.Alikuwa shabiki wa liverpool, arsenal, man United, Newcastle au everton.
2.hakuwa mshabiki wa mpira bali kaanza kushabikia sasa na ndo kazikuta hizo timu ziko kwenye njia.
3.ni mhamiaji haramu.
4.katoka kijijini kafika mjini katafuta timu ya kushabikia kazikuta hizo.
Shabiki mkongwe wa mpira na anayeujua mpira vema utamkuta liverpool, arsenal, man United, Newcastle na everton hizi ni timu zenye historia na umaarufu unaoeleweka. Kwa mbaali sana nimewaacha na Aston villa.
weka ARSENAL hapoJuventus
Liverpool
Buyern munich
Real madrid
Barcelona
Manchester united
giant club in europe
Kwa sasa chelsea anaingia hapo
Nilimsahau na Ac milanweka ARSENAL hapo
Pogba na Mourinho tunafungwa kwa uzembe waoMourinho to Pogba in the Man United dressing room:
“You don't play. You don't respect players and supporters. And you kill the mentality of the good honest people around you.” [Duncan Castles]
Na Fred atakaa sana benchi chini ya utawala wa Mourinho maana Mourinho hana vision ya mafanikio tena kwa sasa.Fred: "The coach (Mourinho) chose not to put me on the team, it's his choice. I always do my job and I can't let that affect my mentality, I can't let that disturb me. I have to be patient.”
Kwa maneno haya mourinho kaishindwa timu jamaa wameanza kuongea wamechoka
De gea hatak mkataba mpya hadi mourinho asepe kwa taarifa za chini.
Haya kwa hiyo roho inakuumaHaya wewe kumbe ulishawahi kuwa bingwa. Kumbe ulishawahi kuchukua makombe haya wewe mshindi. Sasa kwa mda huu umezeeka au mbona hufungi tena? Kiufupi wewe ni namba 1. Ni timu bora. Tena mnachukua na kombe msimu huu tena mtachukua na uefa.
City haiwezi kuwa level ya United, hivi ule msimu Mtibwa ilivyochukua ubingwa ilikuwa level ya Yanga, au Simba? Au kipindi kile Mbeya City ipo vizuri ilikuwa level ya Yanga au Simba. Man City ni kama Mbeya City tuHalafu ukiwaeleza hapa wanasema walishawahi kuifunga city zamani kipimo chao ni kuifunga city. Huyo city yupo namba 1 yeye yupo below top 4. Kiufupi city sio level yao. Mou anawashusha sana.
City hawezi kuwa level ya Man U. Kwanintunatafuta ushindi au level? City yupo uefa toka naanza kuishabikia 2010. Hiyo man U sikuizi uefa anasua sua. Mwakani haendi atakuwa level ya nani sasa? Hakuna kitu kizuri kama ucheze halafu ushinde. Sasa wewe unafungwa halafu unasema alienifunga hala level yangu? Dah haya banaCity haiwezi kuwa level ya United, hivi ule msimu Mtibwa ilivyochukua ubingwa ilikuwa level ya Yanga, au Simba? Au kipindi kile Mbeya City ipo vizuri ilikuwa level ya Yanga au Simba. Man City ni kama Mbeya City tu
Iniume wakati nipo juu yako. Kiufupi pep yupo vizuri sana. Hatuumi huku. Ila wewe kila wiki kwako lazima ukosoe uchezaji wenu. Kiufupi man u wapo vizuri sana. Hawana kocha mzuri tu.Haya kwa hiyo roho inakuuma
I love this. Jose out is just a dot.
Safi Sana ndugu mchambuzi ambaye miaka michache nyuma hukujua hata Kama kuna kitu kinaitwa Jamii forums achilia mbali miaka ya Jambo forum wakati ambao hukujua hata maana ya internetUkimuona leo anayejiita shabiki wa Chelsea, Man city na Leicester hata Totenham jua
1.Alikuwa shabiki wa liverpool, arsenal, man United, Newcastle au everton.
2.hakuwa mshabiki wa mpira bali kaanza kushabikia sasa na ndo kazikuta hizo timu ziko kwenye njia.
3.ni mhamiaji haramu.
4.katoka kijijini kafika mjini katafuta timu ya kushabikia kazikuta hizo.
Shabiki mkongwe wa mpira na anayeujua mpira vema utamkuta liverpool, arsenal, man United, Newcastle na everton hizi ni timu zenye historia na umaarufu unaoeleweka. Kwa mbaali sana nimewaacha na Aston villa.