Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man u haifungi magoli siyo kwa sababu ya ubora wa wapinzani bali kwa sababu ya kujikaba yenyewe.

Jana timu ilikuwa inacheza bila malengo yoyote kila mtu alikuwa na ambition zake timu nzima imechoka kimwili na kiakili.
Tukiendelea hivi kwenye chrismass tutakuwa kwenye relegation zone
 
Lakini jana pia Darmian hakicheza vibaya sana japo mechi fitness ilikuwa ilikuwa shida kwake
 
Nilichogundua mourinho anapata tabu kwenye hivi vi timu vidogo kufunga magoli hashambulii bado tunakaba na vyenyewe vinacheza mfumo kama wetu sasa ngoma inakuwa nzito
 
Timu haiwezi kufunga magoli kwasababu inavisaidia hivi vitimu kwa kujikaba yenyewe.

Inaumiza sana kuona Man u iliyopoteza focus namna hii dah
Nilichogundua mourinho anapata tabu kwenye hivi vi timu vidogo kufunga magoli hashambulii bado tunakaba na vyenyewe vinacheza mfumo kama wetu sasa ngoma inakuwa nzito
 
Ukiona mtu anatangaza vitu alivyokuwa navyo sasa hana dalili ya kufilisika kibaya mi nnachochukia kuponda players mbele ya media ujue wanaharibika kisaikolojia namuelewa sana lakin kwenye hicho kipengele ananichosha sana
 
•√Hatutaki tuchukue ligi kuu msimu huu lakini kushindwa kuwafunga palace OT ni ujinga mtupu..Tucheze basi vizuri kwenye baadhi ya games

•√Wakuu timu yetu ina shida nyingi ila Mourinho ni tatizo la kwanza..

•√Arsenal wameimarika kuliko sisi..flow ya mpira inaonekana,ila sisi ni kubahatisha tuu..

•√Mourinho ameshaichoka timu yetu kama pia sisi tulivyomchoka..Ni muda muafaka sasa atuachie timu yetu kwanza then mambo mengine yatarekebishika tu..
 
Mechi ya jana kanishangaza sana kumuacha fred nje ni kumdharau jamaa hata dalot yaani palace tunawaogopa? Sijui valencia anatatizo nae pia,,, Mi naona mourinho anatafuta sababu za kufukuzwa kwa sasa
Mkuu Mourinho alim mind Valencia, kipindi kile kimenuka United, mara matokeo mabaya, mara agombane na Pogba. Kuna Instagram mtu alipost kwamba Mourinho atumbuliwe, Valencia akai like hiyo post, tangu hapo Mourinho akamlia BaTi

Pia kuna incidence nyingine, Mourinho alitaka Valencia awepo uwanjani kwenye mechi nadhani ya Derby (kwakuwa ni Captain), Valencia hakwenda, hilo suaka pia lilimuudhi Mourinho.
 
Daaa hapa ni ngumu kuirudisha timu kwenye mstar maana yake wachezaj washagwanyika ni vigumu kupata chemistry ya timu huwez kuuza players wote kwa ajili ya kocha hapo atumbuliwe tu hamna namna.
 
Daaa hapa ni ngumu kuirudisha timu kwenye msatar maana yake wachezaj washagwanyika ni vigumu kupata chemistry ya timu huwez kuuza players wote kwa ajili ya kocha hapo atumbuliwe tu hamna namna.
Hahahahahaha, eti atumbuliwe

Akishatumbuliwa unamleta nani ambaye kwa sasa yupo sokoni

Moja kati kitu kinachoipeleka mbele City ni continuity, na continuity inaletwa kwa kiasi kikubwa na Sporting/Football Director

Sasa United inabidi tuanzie hapo kwa Sporting Director
 
Naona zidane hana timu tungeanzia hapo kwanza hata yule kocha wa spurs aibwe ty hamna namna
 
Naona zidane hana timu tungeanzia hapo kwanza hata yule kocha wa spurs aibwe ty hamna namna
Kusema ukweli, kuweka Zidane ni muendelezo wa majaribio tu (kwangu naona Zidane alipata mafanikio pale Madrid kwa kuwa alikuwepo mahali sahihi, wakati sahihi akiwa na wachezaji sahihi, sioni Zidane akitamba nje ya Madrid ile)

Angalau ungesema Pochetino, ambaye naye kimataifa (UEFA) bado hajaonesha cheche zake lakini kijumla namkubali ni kocha mwenye uwezo

Ila kuna kitu watu huwa tunakisahau, pamoja na ukweli kuwa Pochetino hajasajili msimu uliopita zaidi Moura (kama sikosei) je Spurs wameondokewa na Wachezaji wao tegemeo? Kwahiyo hawakuleta new faces lakini wamebaki na familiar faces ambao ni key players wao. Na hili ni jambo la kumpongeza mtu anayeitwa Daniel Levy, Mwenyekiti wa Spurs. Je United wana Daniel Levy?
 
Kuendelea kuamini Mourinho kuwa anaweza kubadili Man U ni ujinga. Huyu kocha sijui hata anafanya nini pale OT.

Umefanya niwe mbali na timu yangu na soka lake la kubahatisha kama Amonike.
 
Daaa hapa ni ngumu kuirudisha timu kwenye mstar maana yake wachezaj washagwanyika ni vigumu kupata CHEMISTRY ya timu huwez kuuza players wote kwa ajili ya kocha hapo atumbuliwe tu hamna namna.
Sawa mwalimu Kashasha
 
Kuna watu wana uchungu na hii timu aisee.."We are not fucking Cardiff"

Wape hawa makocha hiki kikosi chetu uone soka litakalopigwa..

1.Pouchetino

2.Jardim

3.Eddie Howe(Bournamouth)


Yaani Kocha unamtoa Mata na Pogba then kiungo anacheza Fellaini na "mchovu" Matic??..huu ni utani

 
David De Gea set for sensational move to PSG with deal poised to make him world's top earning goalkeeper
 
Yan Man U ni litimu la kijingaa sana. Linatoa droo na Crystal Palace linanichania mkeka wanguu. Hiv december 5 ndy Arsenal Afungwe na Man U hii!
 
Lukaku akiwa Belgium anacheza vizuri, akija Unuted anakuwa flop.

Wachezaji karibu ya wote wa pale United wana kiwango cha dunia, ila kocha amekosa mbinu za kuwatumia zaidi ya kuwatukana.

Kocha kila siku anaomba hela ya usajili ananunua wachezaji wanaoishia kukaa benchi halafu anataka tena hela anunue wengine.

Wachezaji ICON pale United kama DeGea na Pogba lazima waondoke sooner. Hata kama unalipwa hela kuliko wote ila timu isipoonyesha juhudi lazima waondoke.

Huyu kocha ni mzigo na kero. Hana la maana analofanya pale United. Hata tukichukua Champions league aondoke tu. Hana msaada wowote kwenye timu.

Bodi bado inaendelea kumuangalia kocha wa hovyo kama huyu ni dharau kubwa sana kwa mashabiki United.

Kwa msimu huu kumaliza nusu ya juu msimamo wa ligi ni bahati nasibu. United inataka kuwa kama Arsenal ambayo ikiingia top 4 inashangilia kama imechukua kombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…