Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,300 Reaction score 46,749 Nov 24, 2018 #95,981 Nemesis said: Yeap! Natamani tuanze kwa kufurahi, tuitakie Kheri timu pengine nasi tutapiga mtu mkono. Goal difference yetu ni mbovu mno, hivyo hatuhitaji ushindi tu bali ushindi mkubwa. Click to expand... Sina kumbukumbu ni lini tulishinda 5 baada ya ferguson.. Lakini Lets hope tutaimarika sina zijazo
Nemesis said: Yeap! Natamani tuanze kwa kufurahi, tuitakie Kheri timu pengine nasi tutapiga mtu mkono. Goal difference yetu ni mbovu mno, hivyo hatuhitaji ushindi tu bali ushindi mkubwa. Click to expand... Sina kumbukumbu ni lini tulishinda 5 baada ya ferguson.. Lakini Lets hope tutaimarika sina zijazo
olakuya JF-Expert Member Joined Sep 1, 2016 Posts 337 Reaction score 446 Nov 24, 2018 #95,982 Darmian said: Sina kumbukumbu ni lini tulishinda 5 baada ya ferguson.. Lakini Lets hope tutaimarika sina zijazo Click to expand... Mkuu leta basi possible lineup ya leo vs palace
Darmian said: Sina kumbukumbu ni lini tulishinda 5 baada ya ferguson.. Lakini Lets hope tutaimarika sina zijazo Click to expand... Mkuu leta basi possible lineup ya leo vs palace
Y Yodoki II JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 5,517 Reaction score 4,008 Nov 24, 2018 #95,983 Tuanze kutumia winga kusaidia attack
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,300 Reaction score 46,749 Nov 24, 2018 #95,984 olakuya said: Mkuu leta basi possible lineup ya leo vs palace Click to expand... Mkuu sijaipata..ila nahisi lukaku leo anaweza kuanza.
olakuya said: Mkuu leta basi possible lineup ya leo vs palace Click to expand... Mkuu sijaipata..ila nahisi lukaku leo anaweza kuanza.
olakuya JF-Expert Member Joined Sep 1, 2016 Posts 337 Reaction score 446 Nov 24, 2018 #95,985 Darmian said: Mkuu sijaipata..ila nahisi lukaku leo anaweza kuanza. Click to expand... Duuu Mbna kama hakucheza ile mechi ya mwsho belgium akishinda 5?.
Darmian said: Mkuu sijaipata..ila nahisi lukaku leo anaweza kuanza. Click to expand... Duuu Mbna kama hakucheza ile mechi ya mwsho belgium akishinda 5?.
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,300 Reaction score 46,749 Nov 24, 2018 #95,986 Ndio hakucheza ila kwenye press aliyofanya Mourinho jana alisema yupo tayari kuchaguliwa kwenye mechi ya leo.. olakuya said: Duuu Mbna kama hakucheza ile mechi ya mwsho belgium akishinda 5?. Click to expand...
Ndio hakucheza ila kwenye press aliyofanya Mourinho jana alisema yupo tayari kuchaguliwa kwenye mechi ya leo.. olakuya said: Duuu Mbna kama hakucheza ile mechi ya mwsho belgium akishinda 5?. Click to expand...
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,199 Reaction score 28,080 Nov 24, 2018 #95,987 lukesam said: Ila tutashangaa Lukaku anaanza kesho,na pengine akafunga. Click to expand... Mkuu Darmian unaikumbuka hii?😀😀 tusubiri kama utabiri wa pili wa kufunga utatimia. Fred tumepoteza hela?
lukesam said: Ila tutashangaa Lukaku anaanza kesho,na pengine akafunga. Click to expand... Mkuu Darmian unaikumbuka hii?😀😀 tusubiri kama utabiri wa pili wa kufunga utatimia. Fred tumepoteza hela?
GenuineMan JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 7,068 Reaction score 16,381 Nov 24, 2018 #95,988 Hizo fullbacks duuh, dalot hata sub hayupo(au ni injury?), matic na lukaku kama kawaida. Anyway, GGMU
Hizo fullbacks duuh, dalot hata sub hayupo(au ni injury?), matic na lukaku kama kawaida. Anyway, GGMU
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,300 Reaction score 46,749 Nov 24, 2018 #95,989 lukesam said: Mkuu Darmian unaikumbuka hii?😀😀 tusubiri kama utabiri wa pili wa kufunga utatimia. Fred tumepoteza hela? Click to expand... Lukaku anaanza kweli kama ulivosema Fred daah!!??..hapo ndo tunashindwa kuelewa mwalimu alimnunua ili aje afanye nini OT??
lukesam said: Mkuu Darmian unaikumbuka hii?😀😀 tusubiri kama utabiri wa pili wa kufunga utatimia. Fred tumepoteza hela? Click to expand... Lukaku anaanza kweli kama ulivosema Fred daah!!??..hapo ndo tunashindwa kuelewa mwalimu alimnunua ili aje afanye nini OT??
Y Yodoki II JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 5,517 Reaction score 4,008 Nov 24, 2018 #95,990 Hv huyu Pereira vp?? Au Tv huwa zinatupoteza, kuna wachezaji unaweza ona wanapaswa kucheza lakini mwl pengine hata hawafikrii sbabu yeye anawaona live
Hv huyu Pereira vp?? Au Tv huwa zinatupoteza, kuna wachezaji unaweza ona wanapaswa kucheza lakini mwl pengine hata hawafikrii sbabu yeye anawaona live
Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,697 Reaction score 32,447 Nov 24, 2018 #95,991 Darmian said: Lukaku anaanza kweli kama ulivosema Fred daah!!??..hapo ndo tunashindwa kuelewa mwalimu alimnunua ili aje afanye nini OT?? Click to expand... Hivi mechi SAA ngapi wakuu wengine huwa hatuna fixture
Darmian said: Lukaku anaanza kweli kama ulivosema Fred daah!!??..hapo ndo tunashindwa kuelewa mwalimu alimnunua ili aje afanye nini OT?? Click to expand... Hivi mechi SAA ngapi wakuu wengine huwa hatuna fixture
Y Yodoki II JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 5,517 Reaction score 4,008 Nov 24, 2018 #95,992 PTER said: Hivi mechi SAA ngapi wakuu wengine huwa hatuna fixture Click to expand... 1800
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,199 Reaction score 28,080 Nov 24, 2018 #95,993 Darmian said: Lukaku anaanza kweli kama ulivosema Fred daah!!??..hapo ndo tunashindwa kuelewa mwalimu alimnunua ili aje afanye nini OT?? Click to expand... Anaanza mkuu,Fred yupo bench. Matic pamoja na kuwa mchovu bado anaanza.
Darmian said: Lukaku anaanza kweli kama ulivosema Fred daah!!??..hapo ndo tunashindwa kuelewa mwalimu alimnunua ili aje afanye nini OT?? Click to expand... Anaanza mkuu,Fred yupo bench. Matic pamoja na kuwa mchovu bado anaanza.
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,199 Reaction score 28,080 Nov 24, 2018 #95,994 M kathias said: Hizo fullbacks duuh, dalot hata sub hayupo(au ni injury?), matic na lukaku kama kawaida. View attachment 945019 Anyway, GGMU Click to expand... Hawa watoto wasije wakatuvua nguo tu.
M kathias said: Hizo fullbacks duuh, dalot hata sub hayupo(au ni injury?), matic na lukaku kama kawaida. View attachment 945019 Anyway, GGMU Click to expand... Hawa watoto wasije wakatuvua nguo tu.
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 24, 2018 #95,995 Huyu darmian wa nini tena
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 24, 2018 #95,996 lukesam said: Anaanza mkuu,Fred yupo bench. Matic pamoja na kuwa mchovu bado anaanza. Click to expand... Jamaa anatukosea heshima ujue matic kashindwa kabisa kuilinda bek yetu
lukesam said: Anaanza mkuu,Fred yupo bench. Matic pamoja na kuwa mchovu bado anaanza. Click to expand... Jamaa anatukosea heshima ujue matic kashindwa kabisa kuilinda bek yetu
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 24, 2018 #95,997 M kathias said: Hizo fullbacks duuh, dalot hata sub hayupo(au ni injury?), matic na lukaku kama kawaida. View attachment 945019 Anyway, GGMU Click to expand... Nimechoka kabisa dalot anakosaje kucheza hii mech?
M kathias said: Hizo fullbacks duuh, dalot hata sub hayupo(au ni injury?), matic na lukaku kama kawaida. View attachment 945019 Anyway, GGMU Click to expand... Nimechoka kabisa dalot anakosaje kucheza hii mech?
mwisho2016 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2016 Posts 724 Reaction score 625 Nov 24, 2018 #95,998 Darmian said: Ndio hakucheza ila kwenye press aliyofanya Mourinho jana alisema yupo tayari kuchaguliwa kwenye mechi ya leo.. Click to expand... Nimemuona darmian wa JF
Darmian said: Ndio hakucheza ila kwenye press aliyofanya Mourinho jana alisema yupo tayari kuchaguliwa kwenye mechi ya leo.. Click to expand... Nimemuona darmian wa JF
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,199 Reaction score 28,080 Nov 24, 2018 #95,999 radika said: Jamaa anatukosea heshima ujue matic kashindwa kabisa kuilinda bek yetu Click to expand... Matic ameisha!
radika said: Jamaa anatukosea heshima ujue matic kashindwa kabisa kuilinda bek yetu Click to expand... Matic ameisha!
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Nov 24, 2018 #96,000 I think pogba anaakiwa acheze mbele kidogo sio nyuma kama hivi anasaidiana na matic. Kule mbele tunakosa creactivity kabisaa. Hakuna pas za maana. Hakuna mashambuliz ya maaana. Kati acheze fred na matic kisha pogba awe free
I think pogba anaakiwa acheze mbele kidogo sio nyuma kama hivi anasaidiana na matic. Kule mbele tunakosa creactivity kabisaa. Hakuna pas za maana. Hakuna mashambuliz ya maaana. Kati acheze fred na matic kisha pogba awe free