Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Muda wenu wa kupumzika una karibia kuisha Ijumamosi mnarudi kwenye Maisha yenu ya Mateso na stress.... ....
.........Tuanze kuandaa maturubai ya Msiba wa Ijumamosi .
Angalia usije ukapata stress wewe mkuu, maana naona kabisa namna Cristal Palace atakavyo ku disappoint
 

Sio Siri mimi ili jambo linaniumiza sana kumuona beki skangaga kama Eric bailly anawekwa bench na smalling daah inaniuma sana Ila ndiyo sina jinsi
 
Dakika zile 45 zilikuwa kama mia kwa man city
 
Hata Mimi navutiwa sana na falsafa ya Leornado Jardim
 
Kikosi changu kesho


De gea

Dalot Smalling Lindelof Young

Fred Perreira Pogba

Mata Sanchez Martial


√If Pogba is fit though..maana kuna tetesi kuwa bado ni majeruhi..

√Shaw is suspended..ana kadi tano za njano
 
Hapana sio hivyo.
✓Kocha anatakiwa awe na psychology ya kusoma michezo ya wengine morinho hana.
✓Kocha mwelevu hawezi akawa mchezaji anamfundisha halafu aanampanda mabegani. Ziz aliikacha Madrid kwa sabb Rais anaingilia Mambo. SAF aliwatimua wachezaji wakubwa tu, pique,beckam no wakurugenz walimsikiliza kocha. Morinho anamnunua mtu wake and then wanadindiana, what for?
✓ Kocha mzur atakuwa timu moja na wachezaji na wasaidizi. Kule Chelsea morinho aligombana na wachezaji, akagombana na Eva Dr wa timu. Huyu mtu sio social. Hapa OT amemleta Pogba...why agombane nae tena, foolish Sana. Anamkuta mchezaji amenunuliwa na mwenzio, huna sabb ya kumuondoa harakaharaka, ona mephis unamuondoa wakati uanhitaji winger!?, Blind, hao ndio alichukua nao Europa huku Hana beki. Rojo mm namkubali... Stupid morinho, Mkoloni. Mkaidi. Kocha mahili atasaidia wachezaji wajiachie uwanjani wewe unaweka Sheria Kali mguuni mwa mchezaji? Nonsense
 
Kitu ambacho Mimi nakiona kama moja wapo ya sababu ya Baily kuwekwa benchi msimu huu ni sababu ya majeruhi. Tangu msimu ulio pita Baily amekuwa ana umia umia sana. Nakumbuka hata humu ndani kuna watu walikuwa wanamlaum Jose Kuwa mpaka anaenda msimu wake wa tatu hajui chaguo lake la kwanza la mabeki wa kati. Ila Baily anacheza mechi mbili pancha, Rojo na Jones ndio tusiwaongelee. Linderlof alikuwa hajakomaa Kwenye Epl. Unakuja kuona Smalling ndiye alikuwa beki pekee ambaye alikuwa ana kupa guarantee ya Kuwa available atleast Kwenye robo tatu ya mechi zote Kwa msimu. Kwa msimu huu Linderlof ame improve kiasi na Smalling ndio yule. Na wote tunajua Kuwa beki za kati zinahitaji kucheza Kwa pamoja Kwa muda mrefu ili waweze kuzoeana. Kwa jicho hili unakuta Mou hana Option nyingine zaidi ya kuwaamini Smalling na Lindelof mbele ya Baily.

Note: Kwenye timu yetu Bailly akiwa mzima Basi yeye ndiye beki bora wa kati tuliye naye.
 
GGMU

It is matchday...
Yeap! Natamani tuanze kwa kufurahi, tuitakie Kheri timu pengine nasi tutapiga mtu mkono. Goal difference yetu ni mbovu mno, hivyo hatuhitaji ushindi tu bali ushindi mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…