Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
Enzi hizo alifululiza kufunga vigoli kama vi nne hivi kila mechi... ππ basi ndugu yangu kipindi hcho Lingard alipaswa kupewa Ballon dor... πKuna kipindi walianza kusema lingard ni bora kuliko messi
Enzi hizo alifululiza kufunga vigoli kama vi nne hivi kila mechi...basi ndugu yangu kipindi hcho Lingard alipaswa kupewa Ballon dor...
Kwa hiyo hapa wewe umenyamaza? Hizo kelele unaziona wewe wenzio wakina kunguru mjanja hawazioni? Hizo kelele zinakuuma nini? Jikite kwenye kushangilia timu yakotatizo mna kelele sana.. Yani mkishinda game moja huwa hapatoshi humu na timu yenu kubwa
Ahsante kama husomi lkn unanijibu hata nilipo muweka Web mwishoni napo unapaona japo hujapasoma... π sasa mkuu sisi si timu ndogo sasa mwaka 2008 huko na ww ndo timu kubwa... Naona tangu kipindi hicho umekua unaenda UEFA ku report wakat timu ndogo kama Chelsea zinaiwakilisha vema Uingereza timu kubwa mnaishia makundi mnakuja huku Europa kwetu watotoAliekupiga uefa ni nani? Refa alikuwa web mi sisomi post zako naangalia juu ulivyoanza kisha najua idea yako nzima
Mhispania flop wa Guardiola anaitwa NolitoMkuu nimekuelewa sana lakini kuna maeneo inabidi tuweke sawa
Ni kweli Lindelof na Bailly walikuwa ni machaguo ya Mourinho, lakini si machaguo ya kwanza
Mou amekuwa akieleza kila msimu unapoelekea kuisha kuwa kazi yake ni kutoa list of names katika namba anayotaka kununua, kwa hiyo hapa huwa anaweka orodha hata ya wachezaji 4 au 5 kwa mpangilio wa umuhimu ili Ed anunue mmoja wapo
Kwa rekodi ya Mou ya kutaka wachezaji ambao ni already proven players, tutajidanganya tukisema Lindelof na Bailly walikuwa ni machaguo ya kwanza ya Jose. Wale walikuwa ni potential zaidi, na Ed huwa anapenda potential players sababu ya resale value yao. Kwahiyo hawa walikuwa ni machaguo ya kwanza ya Ed na Glazer family kwa kuwa ilikuwa ni convenient kwao kibiashara kuwa na mchezaji ambaye unaweza kumtumia miaka 8, na bado ukaja ukamuuza kwa Β£ 40 mil.
Ukirudi kwa beki za pembeni, Mou alikiwa anajitaji sana beki wa pande zote 2, wa kulia na kushoto. Kulia hakuweka mkazo sana kutokana na dhana ya kuweka kipaumbele, ambapo aliona kushoto ni tatizo zaidi. KWENYE HILI JOSE ALIKOSEA, HUWA SI PATIENT KWA WACHEZAJI VIJANA WANAOPOTOKA. Hii imejitokeza hata kwa Martial ambaye alitaka kuondoka kwa sehemu hiyo ilisababishwa na JosΓ© lakini na yeye Martial alikiwa ana shida kwenye attitude yake.
Kuhusu kununua baadhi ya wachezaji na kuto click kama kocha alivyotazamia, Jose hatakuwa wa 1 wala wa mwisho. Nimetoa mfano jana kwa Guadiola wa Claudio Bravo, pia kuna Mhisipania mmoja alikuja msimu 1 tu City kisha akarejea Hispania (ukihitaji jina nitakutafutia). Fergie aliwanunua akina Djemba Djemba, Bebe, Oberten n.k ambao wakaishia kuwa ma flop
Mil. 30 ni ndogo sana kwa beki wa kati kwenye post Ronaldo, Bale, Pogba and Neymar Market, unless uwe unataka uwe timu ya mid table kwenye msimamo wa ligi ya Premier kama akina Everton
Kabla ya hapo alikuepo NEW RONALDO wakuitwa Depay... π tunapataga tabu sanaSaivi martial
Mchezaji anasifiwa na mashabiki wa united mshabiki mvamizi mamluki wa city anaumia na wa chelsea what a joke!!!! Hiki ni kituko cha mwakaSaivi martial
Kwa hiyo web alicheza fainali ya uefa?Ahsante kama husomi lkn unanijibu hata nilipo muweka Web mwishoni napo unapaona japo hujapasoma...sasa mkuu sisi si timu ndogo sasa mwaka 2008 huko na ww ndo timu kubwa... Naona tangu kipindi hicho umekua unaenda UEFA ku report wakat timu ndogo kama Chelsea zinaiwakilisha vema Uingereza timu kubwa mnaishia makundi mnakuja huku Europa kwetu watoto
Kabla ya hapo alikuepo NEW RONALDO wakuitwa Depay...tunapataga tabu sana
Sasa ulitaka wamsifia hazard? Yani kweli nyie mnatia huruma mtu aache kusifia mchezaj wake mnampangia hadi namna ya kuangalia vitu gani vinamvutia?Kabla ya hapo alikuepo NEW RONALDO wakuitwa Depay...tunapataga tabu sana
Mchezaji anasifiwa na mashabiki wa united mshabiki mvamizi mamluki wa city anaumia na wa chelsea what a joke!!!! Hiki ni kituko cha mwaka
Chelsea ni watoto wadogo wa juzi, hata hawaniumizi kichwa mwaka huu wenyewe bado kidogo niwanyoe pale pale darajaniAhsante kama husomi lkn unanijibu hata nilipo muweka Web mwishoni napo unapaona japo hujapasoma...sasa mkuu sisi si timu ndogo sasa mwaka 2008 huko na ww ndo timu kubwa... Naona tangu kipindi hicho umekua unaenda UEFA ku report wakat timu ndogo kama Chelsea zinaiwakilisha vema Uingereza timu kubwa mnaishia makundi mnakuja huku Europa kwetu watoto
Wataumia sana hapo hao nzi walitegemea wakija hapa wakute takwimu za hazard na aguero mkuu unatafuta vitaAnthony Martial this season:
β’ Games = 9.
β’ Goals = 6.
β’ Minutes played = 621.
Eden Hazard this season:
β’ Games = 11.
β’ Goals 7.
β’ Minutes played = 783.
If I speak then Iβm in big trouble..
Sasa wewe si ndo umeona nani kakubishia? Kwako sane ni bora iko hivyo so what?Sane ni bora kuliko rashfod, lukaku, na Martial lakini sisi Kamwe hatumsifii kabisa acheni kupamba mavi maua wanandugu
Sasa wewe si ndo umeona nani kakubishia? Kwako sane ni bora iko hivyo so what?
ππ si ndo nashangaa ulishindwa kuwanyoa wale watoto pale darajani... Sasa napata tabu pale ambapo watoto wako juu akaf wakubwa wako nafasi ya saba, nane nane huko..... πChelsea ni watoto wadogo wa juzi, hata hawaniumizi kichwa mwaka huu wenyewe bado kidogo niwanyoe pale pale darajani
Nyumbani kwenu huwa ndo mpo hivyo mnapamba mavi? Kuna mdau hapo kakwambia wewe unachojua ni matusi mpira hujuiMuache unafiki wa kupamba mavi maua
Nyumbani kwenu huwa ndo mpo hivyo mnapamba mavi? Kuna mdau hapo kakwambia wewe unachojua ni matusi mpira hujui
Zaman mamluki wa city walikuwa wanamfananisha rashford na ihenacho naona tune imebadilika mamluk mpya umekuja na tune yako
Jamaa...ndio nisiowapenda kabisa, hasa mnapoanza kumtaja web, hivi katika akili ndogo tu, mafanikio ya man utd huko nyuma ilikuwa upendeleo unadhani, akili ya kitoto Sana. Na je makocha wanaochemsha, unadhani tatizo lipo kwa Nani? Ushabiki huu kwenye mabanda ya video tunawanyamazia tu, hapa kwa Thinkers huwezi andika upupu Kama huo.Mkuu kati ya mim na www nani anapaswa kuwa na wivu, tangu Web astaafu hauna Epl mimi nimeshabeba kadhaa... Hata hii leo mim niko juu yako ki msimamo.... Timu kubwa nayo kukaa miaka yote hiyo bila kombe tena mnawachezaji bkra kabisa kuwahi kutokea kama akina Pogba π Lukakuπ Lingardπ na Rashford π ni aibu... Mwisho wa siku ukubwa unaishia kwenye makaratasi