Yupo mmoja tu anaitwa kayeke hata uchangiaji wake utajua ni mpenda soka sio mtu wa mihemko lakin mamluki huwa wanalazimisha timu fulani kuishusha.Kushabikia man city ni sawa na kushabikia mbeya city tu
Kung'aa msimu mmoja au miwili hakuifanyi timu kuwa bora
Embe always ni tunda la msimu tu
Hahaha pamoja sana mkuu.Kwenye ubora wako mkuu. Umri nao siraha nyingine.
Wengi wa Man City fans huwa either ni MEMKWA (wamejua soka ukubwani) au Wahamiaji kutoka timu nyingine (ambao pia watahama timu ikishuka kiwango)Yupo mmoja tu anaitwa kayeke hata uchangiaji wake utajua ni mpenda soka sio mtu wa mihemko lakin mamluki huwa wanalazimisha timu fulani kuishusha.
Lakin tuangalie pande zote, kwa nini wanaandamwa fans wa City tu? Kwani wao ndo wenye makosa tu? Au teams zenu mashabaki ni wale wale wa miaka zote? Mnaposema kuw fans wote wa City ni wahamiaji, ujuw mnakosea sana.Wengi wa Man City fans huwa either ni MEMKWA (wamejua soka ukubwani) au Wahamiaji kutoka timu nyingine (ambao pia watahama timu ikishuka kiwango)
Ndio maana mimi huwa nawacheeeki.....
Mkuu hapo tunaongelea in general contextIn what context🤷🏾♀️.... Maana kila mwl apo ana tactics zake, MOUH yupo anaamini kwenye mpira wa kujihami zaidi navyoona mimi.
Mkuu sijasema wote, nimesema baadhiLakin tuangalie pande zote, kwa nini wanaandamwa fans wa City tu? Kwani wao ndo wenye makosa tu? Au teams zenu mashabaki ni wale wale wa miaka zote? Mnaposema kuw fans wote wa City ni wahamiaji, ujuw mnakosea sana.
Upo nakubaliana na wewe ya kuwa Pep amekuwa na bahati ya kukutana Prime team au management kitu ambacho kwa namna moja au nyingine kimempa mafanikio. Nakumbuka kitambo kidogo wakati anatoka Barca kwenda Munich, Edo aliwahi muandikia kuwa Pep amejificha kwenye kivuli cha mchicha.Mkuu hapo tunaongelea in general context
Angalia mfano Mou timu alizofundisha na kupata mafanikio, Porto, Chelsea mara 2, Real Madrid na Inter
Porto kachukua UCL, je Guardiola anaweza beba UCL na Porto au timu yenye profile sawa na Porto?
Angalia alichokifanya akiwa Inter, kocha wa kwanza kushinda makombe 3 ndani ya msimu mmoja tena akiwa na Inter ya kawaida tu
Ameenda Uingereza wababe wakiwa ni United na Arsenal, tangu aingie pale Premier imekuwa ya yoyote, hakuna wenye haki miliki
Madrid amechukua Segunda na kombe la ligi huku akiwa anapambana pengine dhidi ya timu bora kuliko zote kwa wakati wote duniani. Hapa naongelea Barcelona ya Lio at his prime, Iniesta, Xavier, Bosquet, Puyol n.k
Rudi kwa Guardiola, kwanza nakubali kwamba Guardiola ni moja kati ya makocha bora duniani
Lakini lazima tukubali kwamba mafanikio yake kwa sehemu kubwa yamebebwa na ubora wa individual players aliowahi kuwafundisha, udhaifu wa ligi alizopitia na support anayoipata kwa wamiliki wa club zake. Hii inajidhihirisha pale Barcelona, Bayern Munich na City anapondisha kwa sasa
Na ndio maana sitashangaa siku za usoni, nikimuona Guardiola anaenda PSG au Juventus
Mkuu pata like..Mkuu hapo tunaongelea in general context
Angalia mfano Mou timu alizofundisha na kupata mafanikio, Porto, Chelsea mara 2, Real Madrid na Inter
Porto kachukua UCL, je Guardiola anaweza beba UCL na Porto au timu yenye profile sawa na Porto?
Angalia alichokifanya akiwa Inter, kocha wa kwanza kushinda makombe 3 ndani ya msimu mmoja tena akiwa na Inter ya kawaida tu
Ameenda Uingereza wababe wakiwa ni United na Arsenal, tangu aingie pale Premier imekuwa ya yoyote, hakuna wenye haki miliki
Madrid amechukua Segunda na kombe la ligi huku akiwa anapambana pengine dhidi ya timu bora kuliko zote kwa wakati wote duniani. Hapa naongelea Barcelona ya Lio at his prime, Iniesta, Xavier, Bosquet, Puyol n.k
Rudi kwa Guardiola, kwanza nakubali kwamba Guardiola ni moja kati ya makocha bora duniani
Lakini lazima tukubali kwamba mafanikio yake kwa sehemu kubwa yamebebwa na ubora wa individual players aliowahi kuwafundisha, udhaifu wa ligi alizopitia na support anayoipata kwa wamiliki wa club zake. Hii inajidhihirisha pale Barcelona, Bayern Munich na City anapondisha kwa sasa
Na ndio maana sitashangaa siku za usoni, nikimuona Guardiola anaenda PSG au Juventus
nani anaongoza league? Na nani anarecord nzuri wakikutana? pia maradona hajui chochote kuhusu ukocha mbona alishindwa kuiongoza Argentina iliyo kuwa moto..... Pia jamaa ni drug addict mzuri tu nani anajua aliongea hivo skies katika hali ganiWe huko Tandahimba unasema hivyo, ngoja tuone na ma-legendary wa soccer wanasemaje View attachment 934689
Hahahahahaha mkuu kama ungekuwa kwenye top management, sidhan kama jamaa angeendelea kuwa pale... City ukiacha 50/50 defensive mechanism yao, wana advantage ya kukaa na mpira muda mrefu kitu ambacho kinawabeba sana... Mfano juzi kama walipiga about 44 passes kabla ya kufunga, inadhihirisha walivyofit kwenye possessions ukiacha kuweka ukuta.Mkuu hata kwenye mpira wa kujihami Mou Hamfikii Pep tuangalie goals conceded tutajua Mou time is up.... Anahitaji kupumzika Kwanzaa he is a Chelsea failure alishindwa hata kule Madrid alishindwa
Hahahahahaha mkuu kama ungekuwa kwenye top management, sidhan kama jamaa angeendelea kuwa pale... City ukiacha 50/50 defensive mechanism yao, wana advantage ya kukaa na mpira muda mrefu kitu ambacho kinawabeba sana... Mfano juzi kama walipiga about 44 passes kabla ya kufunga, inadhihirisha walivyofit kwenye possessions ukiacha kuweka ukuta.
😀😀😀😱
Hapo right back hamna kitu, wasajili tu. MUFC ina hela kuliko Barca halafu Full back Young na Valencia
Barca wanasajili kila msimu usajili wa maana sana
Maisha ya kumuongezea Young mkataba etc hatutatoka mkuu... Ile bekline ni ya kufumua yote... Piga chini smalling, young, jones etc... Kiungo kiimarishwe kidogo then forwards.... Kwa timu ile itatuchukua years kucover up mkuu.. Sometimes unaona kama MoU anahujumiwa lkn unakuta nae anafanya maamuzi ya kipuuzi tu.Kabisa mkuu haiwezekani timu icheze defensive na isipossess mpira alafu tutegemee kuwa beki zitatuokoa..... Hata tungempata Varane na koulibally tungefungwa tu maana nao binadamu wanafanya errors ila zinakuwa change kutokana na mchezo wa timu zao ila sisi tunaruhusu wenyewe tushambuliwe alafu tunategemea beki zituokoe.....hata de gea now anaonekana kashuka kiwango something ambacho sio kweli.... Ila tu tunamfanya ashambuliwe sana Mwisho anatunguliwa......
Mou ndo anafanya defence yetu ionekane duni sababu tu anaruhusu timu ishambuliwe dakika zote.....
nani anaongoza league? Na nani anarecord nzuri wakikutana? pia maradona hajui chochote kuhusu ukocha mbona alishindwa kuiongoza Argentina iliyo kuwa moto..... Pia jamaa ni drug addict mzuri tu nani anajua aliongea hivo skies katika hali gani
Hatimae wamepitisha ule uchawi waoView attachment 935377