Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Lukaku nani atamchukua?

Labda mumgawe bure na mshahara mwendelee kumlipa mpaka mkataba wake uishe.

Nani anataka hasara.
 
Imani yangu ilikuwa kwamba ndoo inaweza baki Spain, hasa kwa Barca... Sema nso kasi yao ya mashaka. Juve hana stamina ya muda ya muda mrefu. City tutampenga kwenye uzoefu ila vinginevyo wanaweza wakapeta sana.

Sasa hivi UEFA iko open, hakuna timu yenye edge kwa zingine, hapa nawaweka timu kama Madrid, Juve, Barca, Man City na Dortmund kwenye kapu la juu, zikifatia Liverpool, PSG, Bayern, Man Utd, Napoli, Atletico, Inter na Lyon kwenye kapu la pili.

Sioni mwenye 40% winning chance.
 

Mna UCL tatu tu kijana.

Halafu Brand miaka michache tu mjomba, Akidominate Ulaya basi kazi kwisha maana wanakua wakifisha brand yenu.Kwa jinsi Pep anavyojua kusajili mwakani au mwaka keshokutwa atakuwa ameshaestablish dominance kama ya Juventus kule serie A

We kazania Brand wakati Liverpool ana UCL kuliko nyinyi lakini hiyo Brand yake wanaijua wachache au inakaribia kufa sasa hivi
 
Kijana anaamua kujilimbikizia mafanikio anavyotaka mana ndoo za UCL za Liver anazichukua yeye
 
Kweli mkuu inasikitisha sana mimi nilipiga kelele kuhusu Jose ila sahizi nimeamua kutulia kila mtu atapata madhaifu ya timu kwa mda wake.... Ikinachoumiza zaidi ni kuwa hatuna uwezo wa kumfunga city tena tunategemea bahati ila uwezo haupo
 
Naongezea, Glazers are fools.
 
Kumbe ukiambiwa makombe Ulaya tafsiri yako ni UCL .... Mkuu makombe ya Ulaya yapo mengi, likiwemo na la UCL

Twende kwenye brand kupotea. Unajua United haijachukua kombe la Premier miaka mingapi? Unajua yupo kwenye "Money League/Brand League" na timu na timu zipi? Yupo mbele ya Madrid, Barca, Bayern n.k. Vipi, timu yako ipo hapo?

Endelea kujidanganya brand ni miaka michache, ukitaka kulijua hilo muulize Abromovich wa Chelsea. Halafu kuifananisha Juve na City ni sawa na kuifananisha Al Ahl ya Misri na Coastal Union ya Tanga. Na kuifananisha na ligi ya Serie A na Premier ni sawa na kufananisha, sory havifananishiki.

It will take 10 decades for city to reach United level, and that if United assume current Aston Villa status for a century.

Swali la kizushi, kwa hiyo unaona Liverpool wamezidiwa na City kutokana na kuweweseka kwa miongo kadhaa?
 
Kweli mkuu inasikitisha sana mimi nilipiga kelele kuhusu Jose ila sahizi nimeamua kutulia kila mtu atapata madhaifu ya timu kwa mda wake.... Ikinachoumiza zaidi ni kuwa hatuna uwezo wa kumfunga city tena tunategemea bahati ila uwezo haupo
Hamna mpira tunaocheza mkuu.

Hata Everton ya Silva iinacheza vizuri kuliko MUFC.
 


Ukubwa wa Club ni mafanikio, vipi AC Milan wana brand kubwa sasa hivi?

Kama unaongelea History sawa
 
Sure chief... Lets wait for more good na interesting battles to come.
 
mwambie Ivi Iyo Miaka 15 Pep Ashafukuzwa Pale City
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…