Movement zake uwanjani zinawapa space akina Sanchez et. al.
Lakini pia ni mchafuaji wa mipango ya mpinzani (kwa City ndio atafaa zaidi sababu wanaabudu kumiliki mpira)
Dogo Rashford anacheza vizuri akitokea sub. Halafu united huwa hawachezi vizuri siku Dogo Martial na Rash wakianza pamoja, kwanza wote wachoyo na utoto juu
Nimeeleza kiunaga ubaga kwamba kwenye winga ya kulia beki atakayetukaba probably ni Mendy..nikasema kuwa Mendy hana speed na ana poor marking,pia anapanda sana..so kwenye hiyo nafasi mtu mwenye speed atatufaa sana na ndo nikapendekeza kuwa Rashford acheze..
Mpira makocha wanaangalia udhaifu wa timu na namna ya kuutumia ili kupata matokeo na sio kucheza tu kimazoea mkuu..