Hahahah!!! Wala siyo hivyoooo!!! Nilitekwa tu kama mfanyabiashara yuleKwa sisi wakubwa tunajua ulipo haina haja ya kutafutwa unarudi mwenyewe tu kama hivi.
Hahahaha hongera sana ..Sunday mfanye kweli maka m'baki nini...Kama hiviiiiiii....
Ila nataka kujua..mlirudi makwenu usiku ule ule auu?
Maana siyo namna mlivyojipanga na majembe ya kuchimba kaburi.
Hahaaaa, wee kataa tuu ila tunaangalia mida uliyotekwa na mida uliyoachiwa tunajua mateka wetu alikua sehemu salama saliminHahahah!!! Wala siyo hivyoooo!!! Nilitekwa tu kama mfanyabiashara yule
Aswaaaaaa Tena Sana. Kwasababu ninyi hamna effect hata mkishindaYaani Jana wapinzani wetu wote walipiga kambi huku ndani,,ila najua baadhi ya mashabik wa Chelsea na Liverpool jumapili watakua upande wetu
Sasa mimi ndio Manager wa Man u. Nimesema mimi Liver nimepita tu kuwapa hongera na maoni yangu ila kama wenyewe Man fans mko happy sawa tu maana team yenu mimi wacha nikapambane na hali zetu LiverSasa mbadala wa pogba unaifikiri ni nani? Maana usiishie tu kunyosha vidole unatakiwa kutoa mbadala...kwasasa anasaidia kwa kiasi fulani sio bure,ushindi tunaoupata ana mchango wake pia,
Pale liver ndiyo mnasikitisha sana,yani liver akibanwa vizuri mo salah na mane basi hakuna magoli angalia msimu huu mlivyo ishiwa pumzi mapema pale juu mtapisha tuSasa mimi ndio Manager wa Man u. Nimesema mimi Liver nimepita tu kuwapa hongera na maoni yangu ila kama wenyewe Man fans mko happy sawa tu maana team yenu mimi wacha nikapambane na hali zetu Liver
Nyie watani zetu mnakazi, Mimi sikuja hapa kujitapa na Liver kuwapa hongera na kuchangia. labda kuna kitu nataka ujuwe, mimi mpenzi mkubwa wa EPL na kwenye Champion league na support team zote za EPL labda itokee wanacheza na Liver. hongereni ila msianze kutembea vifua mbele mpira wa jana wote tumeonaPale liver ndiyo mnasikitisha sana,yani liver akibanwa vizuri mo salah na mane basi hakuna magoli angalia msimu huu mlivyo ishiwa pumzi mapema pale juu mtapisha tu
Wakiweza wawafunge ndio faida kwetuKama mwana Chelsea naombea sare na city tu nitawashukuru sana
Pole sana mkuuMbona mnachezewa? Sijaona Clear chance hata moja mliyobahatisha
Aliliona mapema hilo jambo kiukweli vijana walipambana sana.
naona unachechemea.
Shauri yako.
duh!
Naombeni matokeo wakuu.
Wabongo bwana. Juve kashinda 2-1United inacheza as if wao ndo wameshinda
Tukifungwa huwa unatoa pole na kutumention..Nilitabiri sare lakini mmepata ushindi
Hongereni sana red devils
Hamna.Hiv kuna mech gani Mourinhno alishawahi kufungwa mara mbili na timu moja? Mana nimeona jana kwa juve kala kipigo yy juve, man city msimu uliopita alipigwa na Mou huyu huyu baada ya kushinda mech za kwanza, liver pia, arsenal pia. Hata Laliga na Serie A pia. Epl ndy usiseme. Nahitaji takwimu zaid kama ni kweli hapigwi mara mbili!!
Lindelof vs Juventus
1. Amekoa mipira 8 ya hatari, idadi kubwa kuliko beki yeyote wa manchester united
2. Pasi asilimia 89 zaidi kuliko beki yeyote wa Manchester United.
3. Tackling 2 zaidi kuliko beki yeyote wa Manchester United.
Hapo kwenye kufunga maana city kosa uruhusu goli mbil hapo utajuataWakiweza wawafunge ndio faida kwetu