Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Matic anatakiwa kumpisha herrera hilo lipo wazi ujio wake ulisababisha herrera kupoteza kiwango chake si mzur ktk ulinz wakat herrera anakupa vitu viwili ulinz na kushambulia
 
Hata 10 akicheza pogba mkuu nyuma yao akae herrera
hahahahaaaaa nemanja matic mtoto wa mourinho akae benchi?
unataka jose mourinho atukanwe tena kwa kusajili useless player kwa fedha nyingi, ndio maana nikashauri jamaa arudishwe mlinzi wa kati ili kuendelea kuweka hali ya hewa sawa kwenye timu.
herrera kiupande mwengine anastahili kurudishiwa heshima yake ya miaka miwili nyuma aliyojijengea klabuni.

msimu uliopita ujio wa nemanja matic ulituaminisha tutacheza 4-3-3 kwenye mechi zetu lakini ikawa kinyume chake kwa sababu hata huyu pogba akiwa namba 10 mechi nyingi tunazocheza hali ya timu yetu inakuwa vile vile.
mimi nadhani solution ni ndogo sana tunachopaswa kufanya ni kurudisha tena makali yetu eneo la pembeni kwa kusajili winga na mabeki wenye spidi kama nyakati za fergie kwa sababu tayari tumeshaonyesha udhaifu chini ya mourinho hatuna uwezo wa kucheza soka la kasi tunapowatumia viungo watatu wa asili.
 
Kweli mkuu suala la 7 na 11 wa maana linatusumbua sana hii ni point.
 
Ashley Young ni mchezaji Muhimu sana pale Man u kwa sasa.
1 Moja yeye ba smalling na Valencia ndiyo wanaoijua Man u kuliko mchezaji mwingine yeyote ndiyo maana umeona amepewa arm band na mechi zote ambazo amekuwa captain tumeshinda except mechi na Chelsea.

2 ndiye mchezaji pekee anayeweza kucheza zaidi ya position nne kwenyr kikosi na bado akaoffer Kitu uwanjani mfano.
Anacheza fullbacks zote, anaweza cheza wing ya kushoto na kulia, na anaweza cheza kama inside ten
Hivi unafikiri Galeth southgate alikuwa mjinga kumtumia Young world cup ?

3 anapace na anauwezo wa kufunga na kutengeneza nafasi za magoli,

4 ni mpambanaji kweli kweli toka Valencia akae bench huyu jamaa anacheza kulia wakati yeye hucheza left back au wing ya kushoto

5 team bado haina mbadala wake kwa sasa ndiyo maana wanaendelea kumpa mkataba.

Ungesema kuhusu.
Valencia
Lukaku
Darmian
Phil Jones
na fellain ningekuelewa siyo kwa Ashley Young
 
Nakubaliana na wachambuzi wengi hapa kwamba mpira wa asili wa MUFC ni mpira wa kasi kwa kutumia wingers. Kipindi cha AF magoli mengi yalitokea pembeni. Umaarufu wa Van Nestory, Rooney, Cole nk ulichangiwa sana na mipira ya kutoka pembeni. David Beckam, CR, Valencia, Gigs na Nani walipata umaarufu kwa mipira ya pembeni. Evra alitisha sana kwasababu ya kupanda na kupiga cross.

Kuna umuhimu wa kupata typica wingers pia back 2 na 3 wanaoweza kupanda na kupiga cross kama ilivyo kuwa Real Madrid ya akina Roberto Carlos na Cafu.
 
Khaaa watu mnachambua
 
Teams to score 5+ goals in a league game since Man Utd last did it in May 2013.

1.Manchester City 21 times
2.Liverpool 12
3.Tottenham 9
4.Arsenal 8
5.MK Dons 8
6.Peterborough 8
7.Bournemouth 7
8. Chelsea 7
9.Brentford 6
10.Derby 6
11.Hull 6
12.Bristol City 5
13.Cambridge 5
14.Norwich 5
15.Watford 5
16.Accrington 4
 
Can you put the number of trophy they won during that time?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…