lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,198
- 28,080
Na Everton
Asante,nilidhani kesho.
Na Everton
Duuh.Saa moja..ratiba ya leo ovyo kweli..mida hii pia el classico
Tusubiri tuone![]()
Angalau leo, vijana washindwe wao
Cardiff amecheza na liverpool jana.Wafungeni kwanza cardiff ndo mje mlete tambo zenu
Naona kasikia maoni yetu![]()
Angalau leo, vijana washindwe wao
Fellain alijitahidi kuwalindaAttacking line ilivyopangwa, ikijibu bhasi itabidi kuirndeleza. Ila tukubali midfield itamwelemea Matic
Ni matumaini yangu kuwa Rashford, Martial na Mata hawatatuangusha leo
Rashford akikosa hata nafasi moja leo José atachonga sana.
Ni matumaini yangu kuwa Rashford, Martial na Mata hawatatuangusha leo
Lol kwanini unasema hivyo mkuu?
Yaani kuwepo kwa Mata kwenye kikosi kunanifanya nitamani kuwashabikia lakini wacha tu kishingo upande niwe Everton..go blues.
Si kamsubirisha mpendwa wake lukaku. Atasema ndio maana anaamua kumpanga lukaku kila siku.
Everton leo ushindi ni wa kwetu.
Come on Everton...
Nyumbani kwa Mata ni Chelsea.Mkuu rudi nyumbani kumenoga
Mata akipangwa kwenye timu yetu, kuna vitu vingi tunakuwa tunafaidika navyo