Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Tatizo jingine ninaloliona kwa Mourinho ni kukosa flexibility..Matic huyu anahitaji kuwa benchi hachezi vizuri kabisa..anacheza too sloppy..,then herrera aingine mahala pake huku wakipea na pogba na fred..naamini tutapata kitu kutoka kwenye viungo hawa..Matic toka world cup kiwango hakikuwa kizuri
Haiingii akilini unatumia £50M kusajili mchezaji na nafasi hapewi