Manchester United (Red Devils) | Special Thread

UKITOKA KUANGALIA SEX FOOFBALL YA ARSENAL HLF UKAENDA KUANGALIA PIRA BOVU KABISA LA MAN U UNAKUFA KABISA

Yani Tayari umeshkuwa Katika Kundi moja na Malafyale na Ollachuga Oc.

Mdogo wamejipiga Ban wengi hapa kama wewe! Endelea hivyohivyo Kuzunguka Kila uzi uone January ili tuone ujasiri wako.
 
Arsenal; Emeryball
Chelsea; Sarriball
City; Tiki taka
Liverpool:Gegen pressing

Manchester United: marathon football, Shaolin soccer, Park the bus, anywhere belle face

 
Man u bado, bado sana.
CB, RW,RB,DM,CF na orodha inaendelea ya watu tunaowhitaji.

Na linabaki swali, je tunawezakupata watu sahihi katika nafasi hizo?
RB tumenunua tunaweka kabatini.
Wasiwasi wangu ni kwamba hata tungempata Toby bado angekaa kabatini msimu mzima.
 
RB tumenunua tunaweka kabatini.
Wasiwasi wangu ni kwamba hata tungempata Toby bado angekaa kabatini msimu mzima.
Dalot kwa nini hapewi nafasi acheze??..Hata matic kaanza kuchoka
 
Dalot kwa nini hapewi nafasi acheze??..Hata matic kaanza kuchoka
Ndio uone jinsi timu yetu ina tatizo. Dalot kacheza mechi moja vizuri,zilizofuata zote anaangalia kutokea jukwaani.

Hao akina Fred wanacheza mechi moja,inayofuata bench,watajiamini lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…