Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Laiti kama ningelikuwa ni mchezaji wa manchester United basi kuna masokwe wawili nisingekuwa nawapa pasi abadan asilani
 
Laiti kama ningelikuwa ni mchezaji wa manchester United basi kuna masokwe wawili nisingekuwa nawapa pasi abadan asilani
Pole sana mkuu,hii timu inatia hasira sana.
Nafikiri miongoni mwao ni kipenzi cha Mou Lukaku.

 
Duh game kubwa kama hii kocha anashindwa kufanya ata sub wapenzi wa bwana huyu niambieni sababu
Ajabu ni kwamba anayeongoza anafanya sub,aliyefungwa katulia. Hii inaashiria nini?kufilisika?kufika mwisho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…