Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi kama mmoja wa vijana wa Mouth out nimefurahishwa mno na kipindi cha pili, tumecheza vizuri sana...... sasa kilichobaki kupanda nafasi maana nimeona Ed hata tucheze vizuri ananuna means anamtafutia Mou sababu tu....tusipomaliza ligi kwenye top 5 basi naamini Ed atamtoa.... Ila big game amazing Playing
 
Kwa upande wangu nimeona kilichofanya timu icheze vizuri ni kuacha mchezaji acheze anavotaka kulingana na uwezo wake ili mradi tupate matokeo mazuri ndo mana hatujapaki bus na tumeshambulia hata mabeki wamejitahidi japo makosa yapo kidogo kidogo kila ni tofauti na Chelsea walivyozani mana watu walikua wanajisifu tunampiga man utd 4 lakini wakachomoa kwa mbinde, man utd forever
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…