Mimi kama mmoja wa vijana wa Mouth out nimefurahishwa mno na kipindi cha pili, tumecheza vizuri sana...... sasa kilichobaki kupanda nafasi maana nimeona Ed hata tucheze vizuri ananuna means anamtafutia Mou sababu tu....tusipomaliza ligi kwenye top 5 basi naamini Ed atamtoa.... Ila big game amazing Playing