Final???? Ni zipi hizo ktk ligu kuu unamfunga united akiwa anapigania nafsi muhimu au akishida wa 6 afungwe wa 6? Kaangalie mwaka jana tulivyokuwa tunapigania nafasi ya pili tulimfanya nini?
Arsenal tukiwa tunahitaji jambo letu huwa hapinduwi hata wapangwe mabek watupu.