Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kati ya vitu anavyonifurahisha mkurugenzi wa manchester united ni saula la mikataba ya wachezaj sina shaka martial atasaini tu angekuwa mzembe hata de gea tungemkosa pogba kuuzwa ajipange sana hawezi kutoka kirahisi.

Shaw alikuwa na mawenge katia saini
 
Naomba mcheze kama Liverpool walivyocheza ili muambulie hata sare ila mkipaki bus itawagharimu sana
Ile sare chelsea ndo wakushangilia liverpool wapo vizur kwa chelsea nafikir wajua hilo wana kama mech tatu au nne wamecheza hovyo
 
2015 final cup FA mlipigwa 2:1 wafungaji arsenal akiwa ni monreal na welbeck. 2015 hiyo hiyo ligi kuu uingereza mlipigwa 3 bila 2004/2005 final ya FA mlipigwa na arsenal. Sasa unaposema arsenal haijawahi kuifunga manchester United unawaza kwa kutumia viungo gani pia unaposema game haina umuhimu hivi wewe una akili timamu yaani kwako FA cup na ligi kuu uingereza hazina umuhimu.

Nakiri arsenal imefungwa mara nyingi na manchester United lakini man hawajawahi kutoka final yoyote wakutanapo na arsenal. Kama unaona nakudanganya ingia you tube ktk miaka niliyotaja uone mlivyopigwa. Acheni ujinga litimu limeshajifia hilo na sasa hivi mkikutana na arsenal tunawanyoosha na kuwakemea bila maombi maana lijini siku hiz ni la kuvuta mkia tu. Tena this weekend Chelsea anawabamiza mpaka mtalala na viatu.
 
Si
Ni kweli chochote kinatokea kwenye mpira na siku zote mpira unadunda ila sio kwenye maji brother
Sibishi najua hatujawah kuwafunga darajan Toma 2012 pie bila mou kuwapiga Mara Mbili 2-0 na last match 2-1 mungekua hamjawah kufungwa na United ila mourinho ndy anawamudu.... Msitegemeee penalty badae lazma mkalishwe... Mkipona draw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…